Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

sexologist aah kumbe na hyo imo.hii dunia balaa kweli unachokiona kidogo mwenzako anakiona dili.

Nmemtafutia mteja mmoja kiwanja kajifanya hajakipenda kumbe amenizunguka toka ninakoishi(nyakato) mpaka kwenye kilipo kiwanja nlkuwa natumia si chin ya 1500 kanifosi kuwa anataka nmeenda zaidi ya wki kutafuta kupata alafu KANIZUNGUKA imeniuma hela yangu niliyokuwa napoteza.
Cha kushangaza ana gari kwa nini aliamua kunitumia mimi kumtafutia kiwanja?si angeweka mafuta akazurura jiji zima since unayo hela na unajua sehemu ya kununua kwa nini umsumbue dalali?
ndo maana watu hupata majanga kwenye mijumba yao kumbe kilimdhulumu dalali.
dah
 
NYUMBA.
iko NYAMHONGOLO ina vyumba
3(master1+self2),sebule+jiko iko kwenye finishing
ya floor imeshaezekwa maji yamo umeme pia
umefika(ingiwa haujaingizwa kwenye nyumba).
mtindo wa nyumba ni wa kisasa.
kiwwnja ni25×40.
bei mil45tu.
KARIBUNI WOTE
 
Eneo linauzwa
liko kona ya Fela(ni makutano ya barabara ya usagara/kisesa/sumve/kishiri igoma) ni zaidi ya hekari 4 umeme umefika.
bei mil.70.
KARIBUN WOTE.
 
sexologist aah kumbe na hyo imo.hii dunia balaa kweli unachokiona kidogo mwenzako anakiona dili.

Nmemtafutia mteja mmoja kiwanja kajifanya hajakipenda kumbe amenizunguka toka ninakoishi(nyakato) mpaka kwenye kilipo kiwanja nlkuwa natumia si chin ya 1500 kanifosi kuwa anataka nmeenda zaidi ya wki kutafuta kupata alafu KANIZUNGUKA imeniuma hela yangu niliyokuwa napoteza.
Cha kushangaza ana gari kwa nini aliamua kunitumia mimi kumtafutia kiwanja?si angeweka mafuta akazurura jiji zima since unayo hela na unajua sehemu ya kununua kwa nini umsumbue dalali?
ndo maana watu hupata majanga kwenye mijumba yao kumbe kilimdhulumu dalali.
dah

Angalia mane no ya kuongea
 
Mwenye kutaka Kuuza Nyumba,
Kiwanja,mashamba au kupangisha nyumba ndani
ya jiji la Mwanza na viunga vyake ani-pm au
anipigie. 0767791405/0789998398.namba ya voda
pia iko whatsapp.
KARIBUNI WOTE
 
VIWANJA
viwanja nyamhongolo vya 15x30 kwa mil.9.vimepimwa.

pia igoma kimoja 60x70 mil14.
kingine kina 40x40 mil.7.
viwanja hv havijapimwa wanatumia upimaji shirikish ni viwanja vizuri mno.Maji na umeme yapo.
KARIBUNI SANA.
 
Nyumba inauzwa Usagara ina vyumba viwili+jiko
+sebule kubwa.
chumba kimoja ni self. Iko karibu na barabara ya
mtaa umeme umefika.
bei maelewano.
cont. 0767791405/0789998398
 
Mwenye kutaka Kuuza Nyumba,
Kiwanja,mashamba au kupangisha nyumba ndani
ya jiji la Mwanza na viunga vyake ani-pm au
anipigie. 0767791405/0789998398.namba ya voda
pia iko whatsapp.
KARIBUNI WOTE
 
SHAMBA
liko Igombe karibu na sekondar ni ekari 2 na nusu
(2.5).Bei mil 25.
KARIBUN WOTE
 
SHAMBA/KIWANJA.
Viko Usagara ukitoka Mizan unaelekea barabara
inayoenda Kisesa umbali kidogo.
Ni hekari 3.
Bei mil.30 tu.
 
SHAMBA.
Liko Bulale Buhongwa karibu na centre ni hekari 2
na nusu.bei milion 25.
KARIBUNI
 
NYUMBA
iko Igombe centre ni ya kawaida kwa sasa kuna
wapangaji vyumba vi5.kiwanja chake ni 35x40.
umeme umefika ni wa kuweka tu.
maji yapo ya ziwa bomba hakuna.
bei mil.15.
KARIBUNI SANA
 
Mwenye kutaka Kuuza Nyumba,
Kiwanja,mashamba au kupangisha nyumba ndani
ya jiji la Mwanza na viunga vyake ani-pm au
anipigie. 0767791405/0789998398.namba ya voda
pia iko whatsapp.
KARIBUNI WOTE
 
KIWANJA
kipo Malimbe karibu na chuo cha SAUT.kipo karibu
na mnara wa Masha. kimezungukwa na hostel za
SAUT.
ukubwa hekari 2.
umeme na maji yapo.bei mil70 maelewano yapo.
KARIBUNI SANA
 
:
Viwanja Kiseke
45x25 mil 9.
38x30 mil 6 umeme na maji yamefika.
KARIBUNI.
0767791405/0789998398
 
RUKA 19:51 19th June 2015
NYUMBA.
iko Nyegezi barabara ya kwenda Majengo Mapya.
iko Karibu na MESSA English medium.
ina maji na Umeme.
ina vyumba vi3 na sebule.
ina master moja.
kuna na msingi wa vyumba vi3.
ukubwa wa kiwanja ni 40x50.
iko karibu na Nyegezi stendi kama km1 tu.
kiwanja chake kinapakana na barabara kuu ya
kutoka Nyegezi stend kwenda Majengo Mapya.
Mpaka sasa nyumba yote imejaa wapangaji
mwenye nyumba yuko kwingine.
bei ni mil.120.
KARIBUNI SANA
 
NYUMBA.+KIWANJA.
viko Nyegezi mtaa wa Nyamazobe. nyumba ni ya
kawaida vyumba 3 na sebule.
kiwanja chake ni 30x50.
Maji yalikuwapo yakakatwa,umeme
hajaingiza,nguzo ya umemr imo kwenye kiwanja.
Barabara inafika.
Fensi mbili za pembeni zimeshajengwa(kiwanja
kiko katikati yawaliojenga tayari).
Bei mil.35.
KARIBUNI SANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom