Ngoja nitafute mtu mwingine anisaidie maana juzi tu jamaa yangu kapata cha 2.5m maeneo ya SAUT
Kamanda huenda ilikuwa bahati yake,
na muuzaji huenda alikuwa na njaa
Ni kweli mdau makin pia inategemea ni nyegezi ipi? kimepimwa au hakijapimwa. kwa mwanza kata nyingi bado zina vijiji na umeme na maji bado.kwa kwa bei hyo inawezekana kabisa.
KARIBU SANA
Nilitegemea kuwa una connection ya kutosha ndo maana nafuatilia post zako kwa karibu...huyo Mdau Makin nadhani nae ni mtazamo wake.