Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

Pata nyumba na viwanja jijini Mwanza

naweza kupata kiwanja cha futi 50-60 huko kahama - shinyanga au eneo lolote mwanza
kwa bei ya 1.8m? nahitaji sana mkuu
 
Nipe kazi mdau nipo kwaajili yako..

HIVI VYOTE:
-Nyumba bora za kupanga / Kununua
-Mashamba/Plot
-Visima bora(kuchimba).

UTAPATA KWETU JIJIN ARUSHA:

Dalali-Arusha Real Estate and
Marketing Properties.


SIMU:
+255767287941
 
natafuta vyumba viwil na sebule bukoba mjini.mwenye taarifa anistue
 
Eneo linauzwa
liko kona ya Fela(ni makutano ya barabara ya usagara/kisesa/sumve/kishiri igoma) ni zaidi ya hekari 4 umeme umefika.
bei mil.70.
KARIBUN WOTE.
Hili eneo lilipata mnunuzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom