akohi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2012
- 788
- 524
Hi Mike McKee nililipa kwa tigo but never been active...na nilijaribu kukuuliza kwa sms ukanijibu kuwa uta niactivate as a Gold member ila mpaka sasa bado
Last edited by a moderator:
Naomba nijuzwe, nini faida ya kua tanzanite member au gold member??
Sijaona mkuu, nimeona maelekezo ya SMS Alert, au hio ndio faida yake?? kama faida ndio hio tuu Asanteni Nunueni salama. ila kama nikiwa Tanzanite member au gold nitaweza kua na uwezo wa kupin on top any thread na kuweka matangazo yangu kwenye any thread basi leo leo nitanunua. kama faida sms alert sioni umuhimu wa sms alert mpaka ifikie nilipie kwa kupata habari wakati nikizitaka nazipata free kwenye simu yangu.
Lengo ni kuchangia jf hayo maswala mengine ni mbwembe tu
sijaele jez cotrbuion ni wawlamao ni mebes wjamii forumsu? Mimi nena nipate huduma hii aalicngie 30,000/= kwa mwaka
nijibu
sijaele jez cotrbuion ni wawlamao ni mebes wjamii forumsu? Mimi nena nipate huduma hii aalicngie 30,000/= kwa mwaka
nijibu