sina pamanent, ni night shift tu.
Mi pasword yangu ya JF ni mamndenyitumia majina ya bwana zako
anza wa kwanza na kuendelea.
ngoja ni i scan nitakutimia kwenye email..Umeamua kunipasua kishwa hadharani, sasa hivi nawaza ntapaje tembo card zako.
Ngumu sana kongosho,zinatumia herufi na namba za makabila matatu na lugha tatu tofauti!!Hackers wakigundua watakuliza!!
Mi pasword yangu ya JF ni mamndenyi
raha ya mwenge kupokeza na huwa hauruki kijiji
Afu mimi ndo busara kwetu, nategemewa na ukoo, mtaa, kijiji, na kata.
Hauko peke yako Kongosho. Mie kazini natakiwa kubadilisha kila baada ya wiki sita yaani nakaribia kumaliza majina ya ndugu na marafiki. Nikiishiwa basi nitazuka hapa nianze kutumia ID za hapa 🙂🙂🙂 halafu inabidi uweke vitu kama hivi ~@!#^*&$ pamoja na namba ili ikubalike kwenye system.