Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
Hii teknolojia ya digital inanitesa. Nimejikuta nina passwords nyingi ambazo nashindwa kuzikumbuka kichwani zote.
Nikiangalia kwenye miongozo ya IT wanataja baadhi ya sifa za password nzuri ni
1. Iwe na mchanganyiko wa herufi na namba, ili kuwa ngumu kwa hackers ku-guess
2.Usiiandike popote, itunze kichwani
3. and so on
Kwa haraka haraka nikiangalia passwords tunazomiliki
1. Bank, na ukute una account zaidi ya benk moja, hapa epuka kutumia aniversaries za mkeo, mmeo, watoto, miaka ya kuzaliwa, mwaka wa kufunga ndoa, eashy for clever hackers to guess kama anakufahamu vizuri
2. Kazini una passwords kwa ajili ya ku-login kwenye systems, tena hulazimika kubadilika badilika baada ya kipindi fulani
3. Una personal email accounts, official, kuna zile mamluki kwa ajili ya vitu mamluki tena hizi ni nyingi kweli nazo una passwords
mfano una gmail 2, yahoo 2
4. Facebook, una account ya ukweli na mamluki
5. Mitandao ya kijamii labda ni member wa mitandao zaidi ya miwili, plus multiple ID's!!
6. Mitandao ya kufatuta ajira let say ni member wa mitandao mimwili tu
7. Professional groups eg Linkedin na mingine ming nako una password
Utunzaji wa hizi password unantatiza, wenzangu mnalionaje.
Naboreka sometimes.
Sijui nifungue kampuni la kutunza password za waungwana?
Nikiangalia kwenye miongozo ya IT wanataja baadhi ya sifa za password nzuri ni
1. Iwe na mchanganyiko wa herufi na namba, ili kuwa ngumu kwa hackers ku-guess
2.Usiiandike popote, itunze kichwani
3. and so on
Kwa haraka haraka nikiangalia passwords tunazomiliki
1. Bank, na ukute una account zaidi ya benk moja, hapa epuka kutumia aniversaries za mkeo, mmeo, watoto, miaka ya kuzaliwa, mwaka wa kufunga ndoa, eashy for clever hackers to guess kama anakufahamu vizuri
2. Kazini una passwords kwa ajili ya ku-login kwenye systems, tena hulazimika kubadilika badilika baada ya kipindi fulani
3. Una personal email accounts, official, kuna zile mamluki kwa ajili ya vitu mamluki tena hizi ni nyingi kweli nazo una passwords
mfano una gmail 2, yahoo 2
4. Facebook, una account ya ukweli na mamluki
5. Mitandao ya kijamii labda ni member wa mitandao zaidi ya miwili, plus multiple ID's!!
6. Mitandao ya kufatuta ajira let say ni member wa mitandao mimwili tu
7. Professional groups eg Linkedin na mingine ming nako una password
Utunzaji wa hizi password unantatiza, wenzangu mnalionaje.
Naboreka sometimes.
Sijui nifungue kampuni la kutunza password za waungwana?