Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Bei halali ya passport ni Tshs: 50,000.00 unalipia uhamiaji. uwe na picha za passport size 5, cheti cha kuzaliwa, hati ya kiapo ya utambulisho wa wazazi wako ithinishwe na mwanasheria au mahakama, hati inayoonyesha sababu ya safari yako, kimasomo, mwaliko, kibiashara, kikazi nk inachukua wiki moja kupata
 
Tatizo ni nchi mnazotaja kwenda Nk uk,us,Sweden Nk me walinipa permanent nilisema naenda Zimbabwe walichokaje maaana sio ulaya Wala Africa mashariki Shenzi
 
Nenda migration office kachukue form utajua baada ya hapo inamaelezo yotee husika kwa nyongeza tuu vyeti vya wazee vya kuzaliwa na yakwako , picha passport size 4 ukipiga vichochoroni utarudishwa,leseni ya biashara,booking uonekane km una nia ya kusafiri,barua ya serikali za mitaa, final mawe yaani hela 50,000 nilipotoa mm ila kwa sasa nahisi imepanda na chengine mahujiano ya ana kwa ana
 
mkuu Mimi ya kwangu nilipata hapa hapa mwanza..cha muhimu ambatanisha vigezo vyote mbona hutatoa zaid ya elfu hamsin na inachukua kama mwezi mmoja kuipata.jitahidi ukienda uhamiaji pale weka urafiki na wale jamaa pale.
 
Hivi jamani nitatoa reason gani kwa mie ambae nataka niwe na passport tu kwasasa japo sina sabau maalumu labda ya kusafiri, au kuitwa na ndugu nje au mwaliko wowote? ebu nisaidieni mawazo hapo maana nataka niwe na passport for emergence only incase ikitokea siku ya siku nahiitaji nisianze kuhangaika kuitafuta tena
 
Guys naomba kuuliza eti wapi naweza pata fomu kwa ajiki ya application ya passport coz juzi kati nlienda kwenye ofisi ya wizara ya mambo ya ndan na nkaambiwa form zimeisha na ni zaidi ya wiki nne sasa tokea form ziishe so ningependa kujua mahali pengine ambapo naweza pata fomu hizo.....Asanteni
 
Guys naomba kuuliza eti wapi naweza pata fomu kwa ajiki ya application ya passport coz juzi kati nlienda kwenye ofisi ya wizara ya mambo ya ndan na nkaambiwa form zimeisha na ni zaidi ya wiki nne sasa tokea form ziishe so ningependa kujua mahali pengine ambapo naweza pata fomu hizo.....Asanteni

passport ni kazi ya uhamiaji.. nenda mkuu maana wao sio wababaishaji kama polisi
 
Kama una haraka wape laki yao watafune Passport utaletewa mpaka nyumbani.

CCM wameiharibu hii nchi inanuka rushwa kila idara. Hata ukitaka ajira Takukuru mpaka utowe rushwa.

Laki yote badala ya elfu arobaini !!! sasa elfu sitini wanafanyia nini !!
 
Back
Top Bottom