Mbona wa mikoani mnatutenga? Au mnadhani Passo hazipo huku, kisa eti haziwezi kupanda milima. Kwa taarifa yenu, hata sisi tunazo. Na mkileta ujinga tutazipiga rangi ya pinki kabisa, ili mjue we mean business
bora hata ya hao wenye Passo, je hawa tusemeje maana huwa nashindwa kuelewa kuwa hizi kitu zipo kwenye category gani ya magariukienda kkoo ndo vipo shazi, hata vigari vya kwenye golf ni vikubwa
bora hata ya hao wenye Passo, je hawa tusemeje maana huwa nashindwa kuelewa kuwa hizi kitu zipo kwenye category gani ya magariView attachment 264003ukienda kkoo ndo vipo shazi, hata vigari vya kwenye golf ni vikubwa
Nyie pigeni majungu weeeee lakini nikijifungia ndani ya kipasso changu full AC na mziki mnene nlioufunga kwa Dick sound mi sina habari..
Kwanza wengine wanaponda kumbe ni stress za daladala au wanafata upepo tu!!😡