Pasipoti zetu

Ogah

JF-Expert Member
Mar 10, 2006
6,227
1,548
Mara nyingi nimekumbana na tatizo la pasipoti zetu (mpya) kutosomeka.....hii imenitokea sana tu........

Nahisi kuna tatizo la kiufundi kwenye pasipoti zetu zinapotakiwa kusomeka na mashine.........wahusika fuatilieni...........
 
Mara nyingi nimekumbana na tatizo la pasipoti zetu (mpya) kutosomeka.....hii imenitokea sana tu........

Nahisi kuna tatizo la kiufundi kwenye pasipoti zetu zinapotakiwa kusomeka na mashine.........wahusika fuatilieni...........

Hii ikikutokea wakati ushafika nchi ya watu inakuwaje sasa? Utaondokaje huko?
 
Hii ikikutokea wakati ushafika nchi ya watu inakuwaje sasa? Utaondokaje huko?

sometimes ni failure ya machines zao hapo airport, lakini pia utunzaji wa passport yako. Kama unaikunja kunja unategemea nini? Passport ni ya kutunzwa vizuri kama husafiri mbali, lakini utakuta mwingine anayo mfukoni wakati wote utadhani ni walet?

Mimi passport yangu mbona haijanisumbua na naitumia frequently?
 
Mara nyingi nimekumbana na tatizo la pasipoti zetu (mpya) kutosomeka.....hii imenitokea sana tu........

Nahisi kuna tatizo la kiufundi kwenye pasipoti zetu zinapotakiwa kusomeka na mashine.........wahusika fuatilieni...........

Pole sana mkuu Ogah, sasa ilikuwaje hilo tatizo lilipotokea? Ingefaa utuelemishe zaidi kwa faida ya wengine watakaopata matatizo kama hayo hapo baadaye.

Mimi sijawahi kukumbana na hilo tatizo tangu nianze kuitumia hii passport mwishoni mwa 2005.
 
pasi zetu ibadilishwe rangi tafadhali...in lingana na ya Pakistan...just recently mimi nili stopishwa huko thailand wakati wanakagua pasi..eti wanani uliza are you from pakistan? mtu weusi kama mimi? wakati nimemonyesha pasi ndiyo kashangaa etu where is Tanzania near pakistan? LOL........
 
Ni kweli nami ilinitokea nchi moja ya Ulaya wakaanza kuisuspect kuwa feki. Wakachukua namba, then wakaenda nayo kuitest wakaona si feki. Ni kweli hazisomeki ila mamlaka za nje nazo zinatambua maana nilijawa hofu then wakasolve. Kwahiyo kama ni original ukisafiri nayo usiwe na wasi
 
Ni kweli nami ilinitokea nchi moja ya Ulaya wakaanza kuisuspect kuwa feki. Wakachukua namba, then wakaenda nayo kuitest wakaona si feki. Ni kweli hazisomeki ila mamlaka za nje nazo zinatambua maana nilijawa hofu then wakasolve. Kwahiyo kama ni original ukisafiri nayo usiwe na wasi

Ni kweli haina wasiwasi, kwani wanao-check huishia kuingiza information manually (which should not be the case kwa hizi passport zetu mpya) which takes unnecessary time.

Mkuu Mtanzania,
hapo awali nilifikiri ni ya kwangu na Mke wangu tu, lakini juzi juzi nimepata za wanangu...still ni the same story.......kitu kingine kilichonishngaza....ni quality ya picha wanayotoa baada ya ku-scan....ni mbaya sana, picha niliyowapa ina quality nzuri sana, lakini waliyo-produce kwenye passport.....kweli inashangaza.

Magezi,
sijui hata nikujibu vipi....lakini kwa kifupi tatizo kwangu si utunzaji, sababu hivi vitu navielewa sana.....na mpaka kuliandika hapa......i really mean it na sio utani.....however, shukran kwa kuwa ni ushauri mzuri kwa wale wasiojua kuwa wanatakiwa kutunza passport zao vyema......

shabanimzungu,
ni kweli hilo tatizo la rangi lipo, mimi pia ilishanitokea mara mbili, moja ikidhaniwa kuw ani passport ya Nigeria, na mara nyingine kama ilivyokutokea........blue au brown ni rangi ninazopendekeza just in case wahusika watafikiria kubadilisha rangi

Nawaomba wahusika pale Mambo ya Ndani kitengo cha passport wakague passport ili zisiwe na kasoro ndogo ndogo
 
Pole sana mkuu Ogah, sasa ilikuwaje hilo tatizo lilipotokea? Ingefaa utuelemishe zaidi kwa faida ya wengine watakaopata matatizo kama hayo hapo baadaye.

Mimi sijawahi kukumbana na hilo tatizo tangu nianze kuitumia hii passport mwishoni mwa 2005.

Mkuu, imagine tatizo limenitokea pale pale nyumbani airport, Terminal 5, na JFK.......kwa nini nisiulizie wahusika!!.....anyway nafikri ujumbe wameupata
 
Back
Top Bottom