Skudu makudubela
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 563
- 1,106
MDKozi ngumu kuliko yote ni ipi?
MDKozi ngumu kuliko yote ni ipi?
Angeambiwa afungue musikiti ungekenua meno yote nje lkn kusikia kanisa ukajawa na ghadhabu. Shida yako na ukristo ni nini hasa?! Una chuki ya ajabu kabisa.Wajinga ndiyo waliwao.
Ndio coz gani?
MedicineNdio coz gani?
Machenical ????
UDSM?Medicine
Naomba hii comment ifanyiwe laminationSijui kama ni Unabii Bali ni mtu wa system wanakuwaga wanajua maana wanapanga wao.
Mkuu mdukuzi , kumbe wewe wa longi!, humu JF siku hizi kumejaa madogo hawachelewi kutukana, utadhani tunalingana nao!.Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.
Duh kumbe tulikuwa tunaishi wote Mabibo!.Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.
Hukunitendea haki kabisa Watanzania huwa tunasalimiana hata kama hatujuani, japo mimi ni kweli niliwahi kuwa maarufu, lakini sikuwahi ku behave ki super star, mimi ni mtu wa kawaida sana!.Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.
Ni kweli niliingia UDSM kusoma LL.B, sikuwahi ku supp hata somo moja. Mwaka wa 4, mtihani wa mwisho kuna ticha mmoja akanifutia matokeo yangu ya UE kwa somo lake hivyo nikapigwa a technical DISCO for absconded!.Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo, nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili.
Siko TV yoyote siku hizi. Mimi ni freelance hivyo naingia TV yoyote.Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.
Asante ila sii kweli kuwa hakuna mwana JF anayenifikia, if tuna manabii kibao! Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.
Asante nimekusikia, mtu akiisha kuwa Mkatoliki mzuri, hawezi kufungua kanisa.Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi.
Mimi ni mpinzani wa kuchanganya dini na siasa Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.
Ukiisha ita ni pepo la utambuzi hizo ni nguvu za giza, ila pia ni ngumu kubaini maono fulani kama yanatoka kwa Mungu au kwa shetani, mfano hapa, Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje MwanamkeAtumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.
Ni ushauri tu.
Muujiza wa kwanza wa Bwana wetu Yesu Kristo ni kwenye harusi ya Kana, alibadili maji kuwa divai, hivyo sisi Wakatoliki, divai rukhsa!.Nabii wa walevi
Tulipisha tuu na ticha mitaa ya Sinza kwenye mambo yetu yale!. Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisaAlidisco vipi chuo ilhali tayari ameshamaliza law school, kama sijakosea?
No sikururudi kusoma bali nilikuwa napigania haki yangu ndio ikapatikana after 10 years, baada ya hapo nikaanza kuupigania uwakili nikapata after 5 years!.Nasikia alirudi tena kusoma baada ya miaka zaidi ya kumi na kugraduate kwa GPA kali sana
Asante,Mayalla ni very professional. Hilo liko wazi sema hata career yake ya uandishi wa habari angepata nchi yenye uhuru kama Kenya mfano angekuwa moja kati ya waandishi na wanahabari Bora.
Asante ila if you are good at something, just do it good sio lazima uteuliwe popote!.Tatizo misingi ya serikali yetu haikumpa nafasi kudevelop zaidi ya kuwa chawa na green guard.
Simjui,hanijui but this mzee is so smart. Natamani siku moja nimuone kwenye nafasi kubwa akiongoza nchi.
Sijashindwa ni vile tuu...Kama wachekeshaji,maslay queen na wasiojua lolote wameweza mayalla ndo aje ashindwe
Nilichoambulia ni kuwa Pascal alidiscoNilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.
Nikaja kukutane nae UDSM akisoma LLB na mimi nikisoma kozi ngumu kuliko zote pale chuoni, namkumbuka akinesanesa na pikipiki lake viunga ya UDSM au Mabibo Hostel nilipokuwa naishi.
Mwaka 2005 Au 2006 NIlikuwa napata lunch Hill Park, tukajikuta tuko meza moja, ila kwa vile alikuwa star sikumshobokea, Kama ilivyo desturi yangu ya kuwakaushia mastaa so hanijui, simjui.
Kwa bahati mbaya wote tulidisco chuo,Mimi nilidisco sababu ya ugumu wa masomo ila mwenzangu nasikia ilikuwa ni figisu figisu tu za prof mmoja sio sababu ya uwezo mdogo.
Baada ya kudisco nikakimbia nchi tena kwa mara ya pili. Sikuwahi kumuona tena zaidi ya kumsoma JF na mimi siangalii TV sijui yuko TV gani siku hizi.
Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.
Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu. Nafahamu yeye ni mkatoliki Mzuri ila afungue tu kanisa atapata wafuasi. Nafahamu pia anapenda siasa, madhabahuni pia ni sehemu sahihi ya kupiga siasa kama akina Mama Rwakatale, Kakobe, Gwajima, Pengo, Mtikila, Sheikh Ponda, Alhad Musa wote hao wanapiga siasa kwenye mimbari.
Atumie hilo pepo la utambuzi au roho mtakatifu aliyenae kuwafikia wengi.
Maana kila utawala unamsukumia kambo utadhani hana kitu kichwani na kwa umri wake sitegemei kuona akipata teuzi,
Ni ushauri tu.
Thanks.Jokes aside!
Mkuu Pascal Mayalla anajua. Zaidi mwamba haoni tabu kuhabarisha na kuelimisha wengine bila kikwazo.
Salute!
Asante, ila sihitaji teuzi yoyote wala ofisi yoyote, hiki ninachofanya sasa kina maslahi makubwa kwa taifa kuliko ningeteuliwa nafasi yoyote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!Jamaa Yuko vizuri,analitazama jambo kwa sura mbili. Ni hazina kabisa sema tu kutokana na teuzi za serikali sijui huwa wanaangalia Nini.
Serikali impe ofisi.
We call itHata wewe ukianza kuandika utitiri wa threads hapa JF na kuwa unajikwoti na kujirejelea katika kila posti huku ukifuata upepo unavyokwenda kuna mambo utakuwa unabahatisha tu maana ubashiri wa kawaida mara nyingi ni 50 - 50.
Hakuna cha nabii hapo wala nini.
- P
Isitoshe yule ni CIA ya Bongo so likely pia kuna vihabari habari vingine anakuwa navyo ndiyo maana anaweza kuvigusia gusia kwenye baadhi ya nyuzi zake.
Japo wazazi wangu wote wawili, baba na Mama walikuwa watu wa Idara, sisi tumezaliwa 8, wanne kati yetu walikuwa serikalini na sisi 4 tuko sekta binafsi. We can't all of US tuwe wa Idara. Mtu wa Idara hawezi kupandisha bandiko kama hili TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!Sijui kama ni Unabii Bali ni mtu wa system wanakuwaga wanajua maana wanapanga wao.