mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 82,237
- 109,047
Wabongo wanawashobokea sana watu wa mfumo sjui kitengohivi kwanini kila mtu hapa bongo huwa anahusishwa na ushushushu. hamna kitu kingine cha kumfananishia mtu mpaka huo ushushushu. na huwa mnawajuaje hao mashushushu...? kama sio wenzenu...?
Wanawaona watu wa ajabu
Ova