Ngushi
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 9,066
- 18,348
ha haaaa haaaaaa! aiseeeeYaani umejiunga jana tu unaanza kushutumu watu humu?!!! Kuwa muungwana na acha overgeneralisation.
ha haaaa haaaaaa! aiseeeeYaani umejiunga jana tu unaanza kushutumu watu humu?!!! Kuwa muungwana na acha overgeneralisation.
.
Mkubwa una hoja nzuri ila hujatutendea haki,hoji walalamikaji mnataka nini? siyo watanzania wote tuna tabia hizo za kitoto za kupinga kila jambo.Kuna kundi dogo la jamii yetu wanaoamini kuwa kupinga na kulalamikia kila jambo ni suluhu ya shida zao.
Jaman twaweza si walisema wasiokwenda shule,wasiojielewa na maskini ndo CCM au walitudanganya walivosena wasomi wengi ni CDM.....sijui ao ma great thinker vilaza wana think nnPascal nawe tuambie umelamba ngapi kwa Lowassa maana toka anagombea akiwa Ccm unaye. Tunafahamu kuwa na wewe ni mmoja wa Nyumbu wanaelekea anapoelekea mmoja. Hapa ni kazi tu. Nyumbu na viroba na vichaa wa Bavicha kwa Lowassa. Great thinkers kwa Magufuli tu. Pascal unakula matapishi yako. Jinukuu uliyoyasema kuhusu Ukawa huko nyuma. Kura zoooooote kwa Dr Magufuli
...Ndio sababu siku ile Mkulu akasema: Wewe Pasiko wewe! Kwa Kisukuma Mayala maana yake manjaa (kwa sauti yake)...Miye niliona aliishiwa pumzi!Huyu Pascal amezidi anapekenyua (kutabiri) ya ndani mnoo. yaani watu wanakosa amani kabisa. Halafu yanatokea kweli
......Tnataka: HAKI SAWA KWA WOOOTE!.................................WATANZANIA TUNATAKA NINI?.....
cjashutumu mtu, nmetoa maoni yangu kama watoavyo wengine, nahc hujafaham nlichosema...Yaani umejiunga jana tu unaanza kushutumu watu humu?!!! Kuwa muungwana na acha overgeneralisation.
Nashukuru walau ndugu yangu umenielewa, then ahsante kwa kuniweka sawa hapo kwa kutumia Watanzania kwa ujumla,...
Mkubwa una hoja nzuri ila hujatutendea haki,hoji walalamikaji mnataka nini? siyo watanzania wote tuna tabia hizo za kitoto za kupinga kila jambo.Kuna kundi dogo la jamii yetu wanaoamini kuwa kupinga na kulalamikia kila jambo ni suluhu ya shida zao.
defiance of authority; refusal to obey orders.watu wenye mamlaka au mabosi hawapendi hii,pasko yupo sawa mkuuNimepata mashaka kama kweli neno "insurbordination" unalijua vyema, halina maana ya kukaidi amri ya kiongozi hata kidogo. Maana yake ni "kufanya mambo ambayo kiongozi wa juu yako ndiye aliyetakiwa kufanya, au kutoa amri ambayo wa juu yako ndiye kimsingi anastahili kufanya" na vitendo hivi vifanyike tu bila kiongozi wako kujua. Mfano Mkuu wa Wilaya X kupeperusha bendera ya Taifa kwenye Wilaya jirani na yake jambo ambalo linafanywa na Mkuu wa Mkoa , Mkuu wa Wilaya kuongelea mambo ya Mkoa mzima kama kutoa takwimu za mkoa mzima bila mkuu wa Mkoa kumtuma kufanya hivyo" Hiyo ndiyo insurbordination na siyo kukaidi Amri. Jamani nivizuri tukatumia vizuri lugha za watu ili tusije tukapotosha umma badala ya kuelimisha.
Sent from my SM-E700H using JamiiForums mobile app