Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 22,154
- 31,412
Akili za kuchambia hizi 😁 yaani ni sawa na kusema vyama vyote vya upinzani viungane na ccm hili kutengeneza upinzani wenye nguvu😴😴njia rahisi ni maridhiano kati ya vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi na KUSHINDWA viungane pamoja vitengeneze chama kikuu cha upizani,
halafu chadema iachwe pembeni kwa sababu haikushiriki uchaguzi haina uhalali wa kishiriki maridhiano yanayotokana na uchaguzi ambayo chadema haikushiriki.
halafu haitakuwa fair haki kwa vyama vya upinzani vilivyoshiriki uchaguzi
kuona maridhiano yanafanyika baina ya dola na chadema ambayao haikushiriki hata huo uchaguzi.(KIMANTIKI).