Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

Sijui unatumia kanuni gani ya kivita. Unawezaje kusarenda na kuanza tena vita?

Kwa ivo kwa maelezo yako unataka kutuambia kumbe Lissu Kesi yake ni ya bandia ila anashikiliwa kama kigezo shinikizo ili CHADEMA ishiriki kwenye maridhiano?
Kwani kuna ambaye hajui kuwa kesi ya lissu ni bandia??
 
Mashariti yanayowekwa na vyama vya ipinzani na has a cdm,ni ya mhimu sana yakakubaliwa na ccm;kwa sababu vyama hivyo vimeumizwa sana kisiasa na hata kimwili.walienguliwa kihuni katika chaguzi mbalimbali kila MTU anajua,wamekamatwa,wamejeruhiwa nk.Hivyo pawepo na maridhiano yasiyomilikiwa na ccm.Nadhani hata makamu alionyeshwa kusikitishwa wakati akiongea ktk msiba wa Kadinali juzi.
 
Endeleeni kukaza,,mwenzenu akiwa anaozea jela..no body cares.
Kwa nini anaozea jela... Halafu CHADEMA inahusikaje kwa yeye kuozea jela CHADEMA haitaki aachiliwe?

Kwani alikamatwa ili CHADEMA ishiriki hayo maridhiano. Ushasahau kabla ya kukamatwa kwake CCM walikataa mapendekezo yote ya CHADEMA kufanya maridhino kabla ya kufanya uchaguzi?
 
1)Kama chadema wataridhiana kama alivyofanya mbowe ?wananchi wanaijua hiyo..!
Maana yake chadema itakuwa chama CHAWA itapoteza imani yake ka wananchi,kwa kifupi chadema itakufa kisiasa

3)Maridhiano maana yake ni chadema kutumika kama toileti pepa ama condom kusafisha na kuhalalisha haramu mbele ya JUMUIYA ZA KIMATAIFA

3)chadema sio muwakilishi wa wananchi wote,MARIDHIANO YAFANYIKE KATI YA SERIKALI NA WANANCHI WOTE.
 
@pmayalla=lucas mashambwa=tlah tlah=choice variable= the list goes on
 

Attachments

  • images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    10 KB · Views: 11
1. Huwa sioni sababu ya kuwapa airtime hawa vibaraka waliofungiwa nairobi wanalishwa na mabwenyenye

2. Unaridhiana nini na watu walioenda kutafuta katiba mpya kwenye maduka ya simu?

3. Unaridhiana nini na watu waliopga kampeni ya kuzuia zoezi la uchaguzi ambalo ni takwa kikatiba?

4. Hzo hela zitakazotumika kuunda tume ya maridhiano afadhali zitumike kununua nyongeza ya madawa mahospitalini au madawati hata kwenye shule mbili za msingi

5. Pale chadomo nani mwenye akili timamu wa kukaa naye meza kujadiliana mambo ya kitaifa kama wao kwa wao tu wanazungukana?

6. Hakuna sababu za kisiasa wala kiuchumi wala kijamii za kutaka ushirikiano na shetani chadomo

7. Chadomo na tecdema hawana umhimu wowote wa kujadiliana chochote
-walichokitafuta walikipata mwezi wa oktoba..na wakitaka tena wapewe.


mm huwa naamini kuwa ni afadhali wajinga, wahuni na vibaka waumie hata kwa kuwazika ili mtaa na taifa libaki salama,
-hakuna sababu ya msingi ya kubembelezana na wajinga chadomo (wawe hai au wasiwe hai)
 
1)Kama chadema wataridhiana kama alivyofanya mbowe ?wananchi wanaijua hiyo..!
Maana yake chadema itakuwa chama CHAWA itapoteza imani yake ka wananchi,kwa kifupi chadema itakufa kisiasa

3)Maridhiano maana yake ni chadema kutumika kama toileti pepa ama condom kusafisha na kuhalalisha haramu mbele ya JUMUIYA ZA KIMATAIFA

3)chadema sio muwakilishi wa wananchi wote,MARIDHIANO YAFANYIKE KATI YA SERIKALI NA WANANCHI WOTE.
Mkuu hyo jumuiya ya kimataifa imeisaidia vip CHADEMA inavyo hangaishwa hapa nchini? Mwenyekiti wake yupo jela,Chama kimefungiwa kufanya siasa..hatuoni hata hizo jumuiya za kimataifa zikishinikiza kufanya lolote..wananchi walijaribu kufanya jambo ile 29/10..tuliona matokeo yake.

Je nini chama kifanye sasa?? Lisu afie jela? Kumbukeni na yeye ni binadamu
 
Naunga mkono pia,CHADEMA washushe siraha chini,hata kivita inaruhusiwa ku surrender ili uweze kujipanga upya kabla ya kurejea kwenye mapambano,watoe tu condition kwamba Lisu awe huru ili aongoze hayo Maridhiano.

Huko kukaza kwao kunafanya Lisu aendelee kuteseka,na CCM hawajali kabisa,mwisho atakata moto huko jela na hakuna watacho nufaika.

Cc Pascal Mayalla

Cc Robert Heriel Mtibeli una maoni gani
Kwani Cdm imeshika silaha gani mkuu ?
Mbona Mandela alikaa 27 years
 
Kwani Cdm imeshika silaha gani mkuu ?
Mbona Mandela alikaa 27 years
Kila akiandika lazima aandike "mwenyekiti wao yupo jela" kama vile yupo jela kwa kuwa CHADEMA inakataa kufanya maridhiano.

Kuna watu wameuawa kisa CHADEMA. Halafu hii ya kuwaacha watenda makosa na kuwasakama watendewa makosa ni tabia ya watu waoga na wanafiki!
 
Yaani unataka CDM waingie maridhiano wakati CCM ya mafisadi wameficha mapanga mgongoni we mzee unaanza kuzeeka vibaya eee.

Kwanza maridhiano ni matendo,
1. Tubu na sema uliua watu wangapi na kwa nini uliamua kufanya hivyo.
2. Miili yao ipo wapi
3. Futa kesi zote za kisiasa na utangaze utekaji umeisha na wafungwa wote watoke magelezani.
4. Tangaza hadhafani kwamba uchaguzi haukua huru na haki
5. Sema ni lini mchakato wa katiba mpya unaanza

Haya matano tu hata bila kuwaita CDM mezani maridhiano yatakuwa tayari yameshayaanzaisha.
 
Mkuu namaanisha wawe na utayari wa maridhiano,mara nyingi CHADEMA wanasema hawatashiriki..wakionyesha utayari nadhani mengine yatafuata.
M/Mwenyekiti Heche mbona alishatoa MSIMAMO,wapo tayari kwa maridhiano yenye NIA ya dhati na sio ya ULAGHAI/Ujanja Ujanja...ila yote kwa yote Maridhiano ni kitu muhimu na hayaepukiki kwa sasa
 
chadema waridhiane wao kama nani?
1)MOSI hawakushiriki uchaguzi.?

sasa wataridhiana vipi baada ya matokeo ya uchaguzi ambao wao hawakushiriki ??

walipaswa kuridhiana kabla ya uchaguzi.

3)Mambo yameshavurugika yameshakorogeka..watu wamepoteza ndugu zao ..wana nchi wamejeruhiwa..

sasa wao chadema wanahusika vipi kusimama nafasi ya wananchi?..toka lini chadema ikawa mwakilishi wa wananchi?

maridhiano ya chadema hata yakifanyika hayatasaidia KULIPONYA TAIFA.

ila yatasaidia HARAMU kuhalalishwa mbele ya JUMUIYA ZA KIMATAIFA TU.

yani kwa ajili ya kurahisha mabeberu ya nje ya nchi..sinkwa ajili ya kuliponya taifa .
 
Back
Top Bottom