Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

Naunga mkono pia,CHADEMA washushe siraha chini,hata kivita inaruhusiwa ku surrender ili uweze kujipanga upya kabla ya kurejea kwenye mapambano,watoe tu condition kwamba Lisu awe huru ili aongoze hayo Maridhiano.

Huko kukaza kwao kunafanya Lisu aendelee kuteseka,na CCM hawajali kabisa,mwisho atakata moto huko jela na hakuna watacho nufaika.

Cc Pascal Mayalla

Cc Robert Heriel Mtibeli una maoni gani

Kama hakuna mazingira ya haki na usawa. Hakuna maana ya Maridhiano.
 
1. Huwa sioni sababu ya kuwapa airtime hawa vibaraka waliofungiwa nairobi wanalishwa na mabwenyenye

2. Unaridhiana nini na watu walioenda kutafuta katiba mpya kwenye maduka ya simu?

3. Unaridhiana nini na watu waliopga kampeni ya kuzuia zoezi la uchaguzi ambalo ni takwa kikatiba?

4. Hzo hela zitakazotumika kuunda tume ya maridhiano afadhali zitumike kununua nyongeza ya madawa mahospitalini au madawati hata kwenye shule mbili za msingi

5. Pale chadomo nani mwenye akili timamu wa kukaa naye meza kujadiliana mambo ya kitaifa kama wao kwa wao tu wanazungukana?

6. Hakuna sababu za kisiasa wala kiuchumi wala kijamii za kutaka ushirikiano na shetani chadomo

7. Chadomo na tecdema hawana umhimu wowote wa kujadiliana chochote
-walichokitafuta walikipata mwezi wa oktoba..na wakitaka tena wapewe.


mm huwa naamini kuwa ni afadhali wajinga, wahuni na vibaka waumie hata kwa kuwazika ili mtaa na taifa libaki salama,
-hakuna sababu ya msingi ya kubembelezana na wajinga chadomo (wawe hai au wasiwe hai)
Sema hivi, ilibidi watu wauawawe ili wasizuie tena chaguzi za wizi.
 
Kama na yeye ataridhia akae tu,,kushusha siraha ni pamoja na kupunguza misimamo mikali wakati taifa linaenda kwenye maridhiano.
Nendeni kwenye maridhiano, kwani cdm wamewazuia? Cdm wamesa hawashiriki maridhiano ya kitapeli. Labda useme nini kilifanya maridhiano ya 4R za Samia kukwama? Hakuna wajinga wa kudumu boss, tuombe tu tusipate silaha, wote tutachekea chooni.
 
Mkuu namaanisha wawe na utayari wa maridhiano,mara nyingi CHADEMA wanasema hawatashiriki..wakionyesha utayari nadhani mengine yatafuata.
So literally you mean that Samia, CCM and the government jointly they're keeping Lissu in prison illegally using him as a bargaining chip pressuring CHADEMA into concession agreement.
 
njia rahisi ni maridhiano kati ya vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi na KUSHINDWA viungane pamoja vitengeneze chama kikuu cha upizani,

halafu chadema iachwe pembeni kwa sababu haikushiriki uchaguzi haina uhalali wa kishiriki maridhiano yanayotokana na uchaguzi ambayo chadema haikushiriki.

halafu haitakuwa fair haki kwa vyama vya upinzani vilivyoshiriki uchaguzi

kuona maridhiano yanafanyika baina ya dola na chadema ambayao haikushiriki hata huo uchaguzi.(KIMANTIKI).
 
Huyu mayala ni wa kumpuuza haieleweki ana msimamo gani,mara leo yupo huku kesho kule kama jibwa koko
@mayalla=@gentamicin=tlah tlah =@choice variable =@*lucas mwashambwa*== chawa wote list ndefu inaendelea
 

Attachments

  • images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    images - 2025-03-30T152501.267.jpeg
    10 KB · Views: 11
njia rahisi ni maridhiano kati ya vyama vyote vilivyoshiriki uchaguzi na KUSHINDWA viungane pamoja vitengeneze chama kikuu cha upizani,

halafu chadema iachwe pembeni kwa sababu haikushiriki uchaguzi haina uhalali wa kishiriki maridhiano yanayotokana na uchaguzi ambayo chadema haikushiriki.

halafu haitakuwa fair haki kwa vyama vya upinzani vilivyoshiriki uchaguzi

kuona maridhiano yanafanyika baina ya dola na chadema ambayao haikushiriki hata huo uchaguzi.(KIMANTIKI).
IMG_20260327_163454.jpg

Wale wahuni waliopachikwa kwenye uchafuzi ionekane kama kulikuwa na uchaguzi hawana impact yoyote ndiyo maana serikali inahangaika kutafuta namna ya kushawishi the real opposition party ambacho kwa sasa ni kimoja tu ili nchi(wananchi) irudi katika hali ambayo Samia ataacha kuishi mafichoni kama panya.
 
Bwana Mayala kwani hayo maridhiano ni lazima wawepo chadema katika nchi ambayo Ina vyama halali 21?. Kwanini mnaangaika na chama ambacho hakina ushawishi kwenye hayo maridhiano?. Tudadavulie kwanini hasa chadema kwenye hayo maridhiano?. Na wasiposhiriki maridhiano hipi ni shida Kwa serikali na chadema?.
 
Yaani serikali iue watu mamia kwa maelfu!
Ipore uchaguzi!
Ijipachike madarakani bila ridhaa ya wananchi!
Iunde tume kujichunguza!
Ifiche mchakato wa maoni ya waathiriwa wa mauaji...!

Alafu serikali hiyo hiyo iandae utaratibu wa maridhiano na watu wale wale iliyowadhulumu!🤔🤔🤔

Yaani kwa akili ya kawaida HAIWEZEKANI!

MARIDHIANO YENYEWE HAYATARIDHIKA!
 
Bwana Mayala kwani hayo maridhiano ni lazima wawepo chadema katika nchi ambayo Ina vyama halali 21?. Kwanini mnaangaika na chama ambacho hakina ushawishi kwenye hayo maridhiano?. Tudadavulie kwanini hasa chadema kwenye hayo maridhiano?. Na wasiposhiriki maridhiano hipi ni shida Kwa serikali na chadema?.
Kwanza maridhiano ya nini? Na nani? Ili iweje?
Yana andaliwa/kusimamia na nani?
 
1. Huwa sioni sababu ya kuwapa airtime hawa vibaraka waliofungiwa nairobi wanalishwa na mabwenyenye

2. Unaridhiana nini na watu walioenda kutafuta katiba mpya kwenye maduka ya simu?

3. Unaridhiana nini na watu waliopga kampeni ya kuzuia zoezi la uchaguzi ambalo ni takwa kikatiba?

4. Hzo hela zitakazotumika kuunda tume ya maridhiano afadhali zitumike kununua nyongeza ya madawa mahospitalini au madawati hata kwenye shule mbili za msingi

5. Pale chadomo nani mwenye akili timamu wa kukaa naye meza kujadiliana mambo ya kitaifa kama wao kwa wao tu wanazungukana?

6. Hakuna sababu za kisiasa wala kiuchumi wala kijamii za kutaka ushirikiano na shetani chadomo

7. Chadomo na tecdema hawana umhimu wowote wa kujadiliana chochote
-walichokitafuta walikipata mwezi wa oktoba..na wakitaka tena wapewe.


mm huwa naamini kuwa ni afadhali wajinga, wahuni na vibaka waumie hata kwa kuwazika ili mtaa na taifa libaki salama,
-hakuna sababu ya msingi ya kubembelezana na wajinga chadomo (wawe hai au wasiwe hai)
Waambie hao bwana zako wanaohangaika kulazimisha hayo majadiliano waendelee bila ya CHADEMA au maisha yaendelee kama yalivyo bila ya majadiliano, kwani tatizo ni nini au ni opposition party zipi au ni watu gani vilivyosababisha mpaka haya mambo ya majadiliano yanakuwa big issues everywhere, if you genuinely believe that CHADEMA is irrelevant and has no impact whatsoever why are y'all concerned?
 
Back
Top Bottom