Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

Ashapewa bahasha ya khaki na kudokezwa atakuwemo kwenye ile kamati ya maridhiano feki kama alivyosema Polepole , sasa hapo anapiga upatu maridhiano yasiyojulikana ni ya nani na nani na wanaridhiana kitu gani.

Nikuulize tu swali Pascal , dean wa wanafiki ulikua wapi kutoa mapendekezo maridhiano yafanyike mwezi March mwaka 2025 na sio sasa 2026?
 
Wengi wa machawa wanasea CDM imekufa, pia walisema vyama vya upinzan vipo vingi na CDM isijipe umuhimu kwenye uchaguz,pia walisema mambo yanaenda ata CDM isipokuwepo sasa hawa wanaouona umuhimu leo wakuwepo CDM kinanan?
 
Naunga mkono pia,CHADEMA washushe siraha chini,hata kivita inaruhusiwa ku surrender ili uweze kujipanga upya kabla ya kurejea kwenye mapambano,watoe tu condition kwamba Lisu awe huru ili aongoze hayo Maridhiano.

Huko kukaza kwao kunafanya Lisu aendelee kuteseka,na CCM hawajali kabisa,mwisho atakata moto huko jela na hakuna watacho nufaika.

Cc Pascal Mayalla

Cc Robert Heriel Mtibeli una maoni gani
 
Naunga mkono pia,CHADEMA washushe siraha chini,hata kivita inaruhusiwa ku surrender ili uweze kujipanga upya kabla ya kurejea kwenye mapambano,watoe tu condition kwamba Lisu awe huru ili aongoze hayo Maridhiano.

Huko kukaza kwao kunafanya Lisu aendelee kuteseka,na CCM hawajali kabisa,mwisho atakata moto huko jela na hakuna watacho nufaika.

Cc Pascal Mayalla
Sijui unatumia kanuni gani ya kivita. Unawezaje kusarenda na kuanza tena vita?

Kwa ivo kwa maelezo yako unataka kutuambia kumbe Lissu Kesi yake ni ya bandia ila anashikiliwa kama kigezo shinikizo ili CHADEMA ishiriki kwenye maridhiano?
 
Maridhiano si mpaka wamuachie huru mwenyekiti wa chadema atoke jela ndio yafanyike mazungumzo ya kuwa na maridhiano? Mwenyekiti yuko ndani, hayo maridhiano yatafanyikaje?
 
Mbona yeye akujishusha kwa JAB

Ushauri wake apeleke huko huku atutaki kushauliwa
 
Maridhiano si mpaka wamuachie huru mwenyekiti wa chadema atoke jela ndio yafanyike mazungumzo ya kuwa na maridhiano? Mwenyekiti yuko ndani, hayo maridhiano yatafanyikaje?
Mkuu namaanisha wawe na utayari wa maridhiano,mara nyingi CHADEMA wanasema hawatashiriki..wakionyesha utayari nadhani mengine yatafuata.
 
Back
Top Bottom