Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Akiwa kwenye kipindi chake cha PPRA alikuwa akimhoji bwana Utoh wa ofisi ya Mkaguzi wa hesabu za serikali.
Utoh kama nilivyotegemea kuwa anatetea mkate usiingie matope akaanza mapambio ya sifa za miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Akataja idadi ya vyuo vikuu na kilometa za lami zilizoongezeka.
Mayala akatoa wito kwa wanasiasa na wanahababi kuwa wasipinge kila kitu. Baadae kwa msisitizo na kwa umakini akasema, 'nawashauri nduguzangu na member wenzangu wa JF, tuwe wakweli mioyoni mwetu. Serikali imefanya mengi sio tupinge kila kitu. Tukubali tu kuwa tuna maendeleo'
Utoh kama nilivyotegemea kuwa anatetea mkate usiingie matope akaanza mapambio ya sifa za miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika.
Akataja idadi ya vyuo vikuu na kilometa za lami zilizoongezeka.
Mayala akatoa wito kwa wanasiasa na wanahababi kuwa wasipinge kila kitu. Baadae kwa msisitizo na kwa umakini akasema, 'nawashauri nduguzangu na member wenzangu wa JF, tuwe wakweli mioyoni mwetu. Serikali imefanya mengi sio tupinge kila kitu. Tukubali tu kuwa tuna maendeleo'