Pascally Mayalla wa jf, na ccm mtaka teuzi alifilisiwa na Hayati Magufuli kisa kumuuliza swali chokonozi, je Samia atamfanyaje baada kumwambia Lisu...

Pascally Mayalla wa jf, na ccm mtaka teuzi alifilisiwa na Hayati Magufuli kisa kumuuliza swali chokonozi, je Samia atamfanyaje baada kumwambia Lisu...

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,937
Reaction score
10,815
Pascally Mayalla ALIPEWA free pas ya IKULU siku Magufuli anaongea na vyombo vya habari kutoka Kwa rafiki yake Gereshoni enzi hizo, kilichojili baada kuingia IKULU hakikuwa TU balaa kwake Bali ndo ulikuwa mwisho wake wa KUPIGA fedha za serikali kupitia vyombo vyake na kile kipindi chake cha kuwasafisha wale majizi ya serikali kwa mipango kedekede waliyoonesha waifanya kumbe majizi tu.

Hakika Magufuli alimnyoosha pascally Mayalla baada ya kumuhoji swali lililomkera Hayati Magufuli yaani wewe Mayalla(means NJAA),unamwoji mtu kama limagufuli linapata wapi mamlaka yaliyonje ya katiba?

Swali ilo lilimuingiza Passcaly Mayalla MATATIZONI na uwezi amini jamaa alifungwa mpaka mdomo lakini siku aliyotangazwa kufariki Pascally alichinja mbuzi mikisa na jogoo na kusherekea.

Leo hii pascally Mayalla anajitokeza MAHAKAMANI kwenye kesi ya kubumbwa ya jamhuri dhidi ya Tundu Lissu na kumwambia Kaka" Lissu yanamwisho" je ni yapi yaliyona mwisho?
Pascally Mayalla wa jf na ccm mtaka teuzi tubu na uiamini injili!🤣😂
 
Sidhani kama anatafuta uteuzi kama TEC na CHADEMA mnavyomzushia!

Pascal Mayalla hana haja ya uteuzi kwani ana kazi yake maalum kama AFISA KIPENYO!! Mnakumbuka yule mwandishi wa habari wa kujitegemea [ Erick Kabendera] aliyekamatwa na kuteswa sana enzi ya Magufuli halafu akaja kutoka kwa plea bargaining halafu akakimbilia Ughaibuni? Huko ughaibuni aliandika kitabu ambacho kilimtuhumu Magufuli kuwa ndiye alimuua Benn SAANANE Ikulu?
Yule bwana alimtaja Pascal Mayalla kuwa alihusika na kukamatwa kwake!!
 
Kwamba Pascal alihusika kukamatwa kwa Kabendera au Saanane?

Kabendera katika kitabu chake anasema authoritatively kuwa Benn SAANANE aliuwawa kwa kupigwa risasi na Magufuli!!! It is also alleged that Pascall Mayalla was responsible for all the troubles and tribulations he endured during the Magufuli regime.
The title of Erick kabendera's book:
IN THE NAME OF THE PRESIDENT:
Memoirs of a jailed journalist.
Published in 2024.
 
Kabendera katika kitabu chake anasema authoritatively kuwa Benn SAANANE aliuwawa kwa kupigwa risasi na Magufuli!!! It is also alleged that Pascall Mayalla was responsible for all the troubles and tribulations he endured during the Magufuli regime.
Bulesi umesemaje?
 
Kabendera katika kitabu chake anasema authoritatively kuwa Benn SAANANE aliuwawa kwa kupigwa risasi na Magufuli!!! It is also alleged that Pascall Mayalla was responsible for all the troubles and tribulations he endured during the Magufuli regime.
Mmmh
 
Kabendera katika kitabu chake anasema authoritatively kuwa Benn SAANANE aliuwawa kwa kupigwa risasi na Magufuli!!! It is also alleged that Pascall Mayalla was responsible for all the troubles and tribulations he endured during the Magufuli regime.
The title of Erick kabendera's book:
IN THE NAME OF THE PRESIDENT:
Memoirs of a jailed journalist.
Published in 2024.
Duy
 
Back
Top Bottom