Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Korona imefika now you are happy.
Anasema ingeanzia kwako angekuwa "now you are happy."

Bado anayo matumaini kwamba wote aliowaombea janga hilo litawapata ili nchi ipate ahueni.

Samahani, sikuweza kujizuia kuyaandika hayo maneno ambayo najua hayafai; lakini tumefika pabaya sasa. Kama watu mnazo akili kichwani ni wakati wa kujitafakari.
 
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.
Lakini jamaa hakuwa na nia mbaya, alihoji tu uzalendo wako na kama wewe una akili timamu. Maana corona ni janga la dunia na wewe unaombea liikumbe Tz. Je huu ugonjwa unabagua CCM,Cuf au Act? Alafu kama raia mwema hizo tuhuma zote tunaomba uzithibitishe hasa za kula pesa za Mamvi n.k. kuhusu kutaka uteuzi ni hisia tu.
 
Paskali ni arrogant, you can sense this through his posts...ila wajamaa wengi wa kisukuma wako hivyo...
Nakumbuka Rebecca ushawahi kusema kwamba mimi huwa sikupendagi. Ila ulinikosea sana maana nilikuwa hata sikufahamu kipindi hicho. Ila nilishakusame na siku hizi nakupenda sana tena upendo wa AGAPE.
 
Huwa nashangaa sana mtu unatumia id fake umejificha kwenye keybord alafu una ropoka hovyo wakati huna ujasiri wowote hata wa kubeba jiwe kwenda nalo barabarani.
Cha kushangaza hapo ni kipi, au nawe zimekuruka?

Weka polisi pembeni na hao mnaowaita 'Wasiojulikana' halafu uje hapa ujimwambafai tukuone.

Hata raundi tatu hufiki!
 
Huyo jamaa hujifanya anajua sana kumbe zumbukuku tu,kazi yake kubwa hapa jf ni kutafuta cheo tu.

Sent using tecno tochi
 
Nyote kwenye uzi huu, mnaosema haumumuelewi Pascal. Jee mnamuelewa yericko, Salaryslip, Fatma Karume, Olesosopi, Marai Sarungi na ofcourse KIGOGO,basi kama hao wote mnawaelewa, basi mjui nyinyi ni wanafiki msiokuwa na ukweli wowote, Pascal ni mtu anayeunga mkono siasa za CCM, kama hao niliowataja wanavyo shabikia upinzani CDM ama ACT. Nyie mnaomuona anachumia tumbo lake ni kwa sababu haungi mkono vyama venu na siasa za viongoziwa vyama vyenu.

Pascal huwa kuna wakati anakoswa kama wanadamu wenzake, lakini ni mwandishi makini sana na mwenye hoja zenye mashiko, sio mtukanaji au mropokaji kama kina Bi Fatma na kigogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mdogo wangu Rebecca alishawahi kunipa tuhuma kali kweli kwamba mimi namchukia kumbe wala hata Simuwazii mabaya. Lakini siku hizi naona kawa rafiki yangu kweli.
Mimi hapa kanipiga marufuku hatak nimquote, the issue was so small back then
Sasa nazidi kuon ni watu weng yuko nao same way
Mbaya ni kwamba I started to love her
Rebeca 83
 
mimi pale kwenye jeshi la usalama wa taifa tu ndio kaniaacha maana ndo nmesikia kwa mara ya kwanza kwake jeshi la namna hio me najuaga ile ni idara
 
Ukabila ndio unamtesa pascaliiiii yaani kisa tu usukuma
huyu jamaa kabla ya hii serikali ya awamu ya tano nilikuwa namuelewa sana kwa hoja zake na michango yake humu JF,lakini kaja kugeuka ghafla na amemjulua Magu kwamba ili akusogeze karibu shurti uwe una msifia na yeye anafanya hivyo hata kwenye mabaya anasifia tu.Uteuzi utaupata kwa hii bidii anayoionyesha,tangu alipoitwa kwenye kamati ya bunge kule Dodoma amebadilika haswa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom