Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Huwa siwaelewi watu mnaokujaga na kauli hizo za watu kutumia hizo mnaita ‘fake id’. Unajua malengo ya JF? Nikukumbushe, moja ya malengo yake makuu ni watu kuongea kwa uhuru na hasa kukosoa mienendo ya serikali na watendaji wake bila woga na hizo mnaita ‘fake id’ zinawasaidia members kufanya hivyo.

Labda umeanza jana kuijua na kutumia mitandao ya kijamii ila kutumia jina lolote unalotaka ni moja ya uhuru tulio nao huku mitandaoni!

Ila hongera kwa kulipwa kodi za wananchi kuja kupoteza muda wako mitandaoni.
Sasa unajiita jasiri huku umejificha kwa ID fake.? Kama si ukunguru ni nini?

Mleta mada kama yeye ni kidume aje na jina lake halisi kama Pasco alivyofanya kisha ndio wapambane.

Siyo unajificha uvunguni na katecno kako alafu unakuja humu na kijina chako bandia alafu eti hooo tutachinja, mara hiivi, mara corona njoo. Pumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyote kwenye uzi huu, mnaosema haumumuelewi Pascal. Jee mnamuelewa yericko, Salaryslip, Fatma Karume, Olesosopi, Marai Sarungi na ofcourse KIGOGO,basi kama hao wote mnawaelewa, basi mjui nyinyi ni wanafiki msiokuwa na ukweli wowote, Pascal ni mtu anayeunga mkono siasa za CCM, kama hao niliowataja wanavyo shabikia upinzani CDM ama ACT. Nyie mnaomuona anachumia tumbo lake ni kwa sababu haungi mkono vyama venu na siasa za viongoziwa vyama vyenu.

Pascal huwa kuna wakati anakoswa kama wanadamu wenzake, lakini ni mwandishi makini sana na mwenye hoja zenye mashiko, sio mtukanaji au mropokaji kama kina Bi Fatma na kigogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umemaliza mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyote kwenye uzi huu, mnaosema haumumuelewi Pascal. Jee mnamuelewa yericko, Salaryslip, Fatma Karume, Olesosopi, Marai Sarungi na ofcourse KIGOGO,basi kama hao wote mnawaelewa, basi mjui nyinyi ni wanafiki msiokuwa na ukweli wowote, Pascal ni mtu anayeunga mkono siasa za CCM, kama hao niliowataja wanavyo shabikia upinzani CDM ama ACT. Nyie mnaomuona anachumia tumbo lake ni kwa sababu haungi mkono vyama venu na siasa za viongoziwa vyama vyenu.

Pascal huwa kuna wakati anakoswa kama wanadamu wenzake, lakini ni mwandishi makini sana na mwenye hoja zenye mashiko, sio mtukanaji au mropokaji kama kina Bi Fatma na kigogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikujua kama pascal ana wapambe , anakulipa bei gani mkuu ?
 
"Kwa wale ambao kusifia magufuli kwao ni kero naomba wapite mbali na uzi huu......mimi ni msukuma halisi na Magufuli ni msukuma kabisa...."Paskal Nxala..
Nakumbuka kuna wasukuma wakati nasoma advance wao walikuwa wanakaa peke yaobtunaita kwenye chamber basi huko ni kupiga kisukuma mwanzo mwisho hadi kero.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kwa wale ambao kusifia magufuli kwao ni kero naomba wapite mbali na uzi huu......mimi ni msukuma halisi na Magufuli ni msukuma kabisa...."Paskal Nxala..
Nakumbuka kuna wasukuma wakati nasoma advance wao walikuwa wanakaa peke yaobtunaita kwenye chamber basi huko ni kupiga kisukuma mwanzo mwisho hadi kero.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumekwisha pita mbali mkuu .
 
Sasa unajiita jasiri huku umejificha kwa ID fake.? Kama si ukunguru ni nini?

Mleta mada kama yeye ni kidume aje na jina lake halisi kama Pasco alivyofanya kisha ndio wapambane.

Siyo unajificha uvunguni na katecno kako alafu unakuja humu na kijina chako bandia alafu eti hooo tutachinja, mara hiivi, mara corona njoo. Pumbavu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sikiliza. Nimeanza kutumia mitandao ya kijamii zamani, naweza kusema toka inaanza na nina uzoefu wa kutosha na jinsi watu wanavyoitumia. Sijawahi kusikia watu wanaongelea mambo ya ‘fake id’ popote pale hadi miaka hii ya Magufuli.

Kutumia jina la NIDA au hiyo mnaita ‘fake id’ hakumfanyi mtu au comments zake kuwa bora au dhaifu.

Mnajiaibisha. Kwa ushauri tu acheni kuhoji vitu kama hivyo. Uko huru kutofuata ushauri wangu.
 
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.
Pascal Mayala, Tamaa ya tumbo haitakiwi kuizidi akili yako utakuwa mtumwa siku za mbeleni.
 
Back
Top Bottom