vexozanzhu
JF-Expert Member
- Mar 1, 2019
- 503
- 619
Wakati mleta mada(Technically )anaonekana Shetani je mipaka ya kuingia TZ imefungwa au ipo wazi? hivyo watu wanajiingilia tuu , vyuo na mashule vinafungwa lakini hizo airport na bandari usalama wake upoje? je kuna hatua gani za wageni waliotoka nchi kama Italy kukaa karantini? hii ni pamoja na control ya soko la kariakoo, , hivyo muda utakavyoenda itajulikana nani ni Shetani kidogo , Shetani haswaa na typical Shetani au tunasubiri idadi ya wagonjwa isome 100 ndo tuone watu wakibadilika na kuwa malaika..................