Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Siku hizi nikiona kichwa cha uzi wa huyu jamaa, huwa siusomi ndani, maana najua fika ataongelea nini.
Pascal nimeona tuhuma zako ukituhumu coment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi?

Ulikula pesa kiasi gani za lowwasa 2010- 2015 ?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Nikwambie tu ukweli mimi ni baba yangu ni mkurya pure na mama yangu ni msukuma ila siwezi kumtetea magufuli kisa kabila la mama.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kanjanja tu, tena mwoga kama kunguru!

Sasa kama unataka kushindana na Mayala weka jina lako halisi hapa JF kama mwenzio alivyofanya.

Huwa nashangaa sana mtu unatumia id fake umejificha kwenye keybord halafu una ropoka hovyo wakati huna ujasiri wowote hata wa kubeba jiwe kwenda nalo barabarani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kanjanja tu, tena mwoga kama kunguru!

Sasa kama unataka kushindana na Mayala weka jina lako halisi hapa JF kama mwenzio alivyofanya.

Huwa nashangaa sana mtu unatumia id fake umejificha kwenye keybord alafu una ropoka hovyo wakati huna ujasiri wowote hata wa kubeba jiwe kwenda nalo barabarani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Huwa siwaelewi watu mnaokujaga na kauli hizo za watu kutumia hizo mnaita ‘fake id’. Unajua malengo ya JF? Nikukumbushe, moja ya malengo yake makuu ni watu kuongea kwa uhuru na hasa kukosoa mienendo ya serikali na watendaji wake bila woga na hizo mnaita ‘fake id’ zinawasaidia members kufanya hivyo.

Labda umeanza jana kuijua na kutumia mitandao ya kijamii ila kutumia jina lolote unalotaka ni moja ya uhuru tulio nao huku mitandaoni!

Ila hongera kwa kulipwa kodi za wananchi kuja kupoteza muda wako mitandaoni.
 
technically, Mkuu hii thread yako inahusiana Nini na Corona.

Ok ngoja nirudi kidogo kwenye mada namm nichangie kidogo... Hii issue inaonekana imekaa privately Sana kwasababu inaonekana kumbe mnajuana nje na ndani utaratibu Mzuri mngefuatana pm mkatajenga kiuanaume. Kufanya hivi siyo njia sahihi.

Tangu lini wanaume tumeanza pigo za kusema "Leo nakuanika hadharani" hizi Ni kauli za wanawake wa Pemba sana Sana.

ONYO; "Corona yaingia Tanzania tuchukue tahadhari" Ummy mwalimu.
 
Huwa siwaelewi watu mnaokujaga na kauli hizo za watu kutumia hizo mnaita ‘fake id’. Unajua malengo ya JF? Nikukumbushe, moja ya malengo yake makuu ni watu kuongea kwa uhuru na hasa kukosoa mienendo ya serikali na watendaji wake bila woga na hizo mnaita ‘fake id’ zinawasaidia members kufanya hivyo.

Labda umeanza jana kuijua na kutumia mitandao ya kijamii ila kutumia jina lolote unalotaka ni moja ya uhuru tulio nao huku mitandaoni!

Ila hongera kwa kulipwa kodi za wananchi kuja kupoteza muda wako mitandaoni.
Sikuexpect aulize swali kama hilo la kukutaka uje na real I'd.
Lumumba buku 7 kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alaah kumbe kweli wewe Ni shetani Ulipata Wapi hisia za kuandika kuwa "Bora Corona ije tu Tanzania" halafu usikute na wewe Ni baba Mwenye familia ya Watoto. Sasa kwavile tayari ulichokiomba kishafika Tanzania naomba kikitoka kwa huyo mama kije kwenye familia yako. Ili uone namna ambavyo serikali itavyofanya investment kwenye Corona kama ulivyodai..

Muda mwingine muwe mnaacha maombi ya kijinga kisa uchumia Siasa.

Pascal M. Alikuwa sahihi kabisa kukulinganisha na shetan maana ulitoa mawazo ya kishetani kabisaa.
 
Alaah kumbe kweli wewe Ni shetani Ulipata Wapi hisia za kuandika kuwa "Bora Corona ije tu Tanzania" halafu usikute na wewe Ni baba Mwenye familia ya Watoto. Sasa kwavile tayari ulichokiomba kishafika Tanzania naomba kikitoka kwa huyo mama kije kwenye familia yako. Ili uone namna ambavyo serikali itavyofanya investment kwenye Corona kama ulivyodai..

Muda mwingine muwe mnaacha maombi ya kijinga kisa uchumia Siasa.

Pascal M. Alikuwa sahihi kabisa kukulinganisha na shetan maana ulitoa mawazo ya kishetani kabisaa.

Paskali kama ni mzalendo kweli tunategemea awataje pia hao mashetani na wendawazimu anaosema wako serikalini.
 
Shida ya watu wengi, wanahisi kwamba binadamu wote tunafanana kimawazo au mtazamo ikitokea unaonesha msimamo wako bila kuwafata au ukiwa opposite na mawazo yao basi hujiinua na kuanza kukupomdea wakizani watabadili mtizamo wako.

Mawazoya mtu yaheshimiwe Siku zote msitake accoment mmavyotaka nyinyi haiwezekani, ukweli mchungu unachoma mpaka kwenye moyo narudia tena msimtusi mtu au kumsimanga au chochote kisa hawapi support kama mnavyotaka.ukweli unakaba sana.

Nashangaa sana mnamuweka mtu afu mnamsema hiii tabia sijawai ona Kwa watu makini huu, ni udhaifu. Mwanaume kabisa unaka kitako unamsema Mwanaume mwenzio? Duuuuh Mwanaume huwa hatupo hivi. Ujumbe ufike.

Mnafeli sana
 
Back
Top Bottom