miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,409
- 11,053
Binafsi nilikua napata sana kero nikiona maandiko yake. I just blocked hos as*.
Anaboa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaboa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Pascal nimeona tuhuma zako ukituhumu coment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.
Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi?
Ulikula pesa kiasi gani za lowwasa 2010- 2015 ?
Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?
Nikwambie tu ukweli mimi ni baba yangu ni mkurya pure na mama yangu ni msukuma ila siwezi kumtetea magufuli kisa kabila la mama.
Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.
Ufisadi kwenu ni sifa ndio maana Chenge haguswiAaggh mambo yenyewe ndio hayo ya kula pesa sijui za nani, nikajua ishue nzito nzito.
Wewe ni kanjanja tu, tena mwoga kama kunguru!
Sasa kama unataka kushindana na Mayala weka jina lako halisi hapa JF kama mwenzio alivyofanya.
Huwa nashangaa sana mtu unatumia id fake umejificha kwenye keybord alafu una ropoka hovyo wakati huna ujasiri wowote hata wa kubeba jiwe kwenda nalo barabarani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukabila ndio unamtesa pascaliiiii yaani kisa tu usukuma
.Haufungamani na upande wowote.Nyote tu wachumia tumbo. Hakuna mzalendo hata mmoja kati yenu.
AgreedPaskali ni arrogant, you can sense this through his posts...ila wajamaa wengi wa kisukuma wako hivyo...
Sikuexpect aulize swali kama hilo la kukutaka uje na real I'd.Huwa siwaelewi watu mnaokujaga na kauli hizo za watu kutumia hizo mnaita ‘fake id’. Unajua malengo ya JF? Nikukumbushe, moja ya malengo yake makuu ni watu kuongea kwa uhuru na hasa kukosoa mienendo ya serikali na watendaji wake bila woga na hizo mnaita ‘fake id’ zinawasaidia members kufanya hivyo.
Labda umeanza jana kuijua na kutumia mitandao ya kijamii ila kutumia jina lolote unalotaka ni moja ya uhuru tulio nao huku mitandaoni!
Ila hongera kwa kulipwa kodi za wananchi kuja kupoteza muda wako mitandaoni.
Alaah kumbe kweli wewe Ni shetani Ulipata Wapi hisia za kuandika kuwa "Bora Corona ije tu Tanzania" halafu usikute na wewe Ni baba Mwenye familia ya Watoto. Sasa kwavile tayari ulichokiomba kishafika Tanzania naomba kikitoka kwa huyo mama kije kwenye familia yako. Ili uone namna ambavyo serikali itavyofanya investment kwenye Corona kama ulivyodai..
Muda mwingine muwe mnaacha maombi ya kijinga kisa uchumia Siasa.
Pascal M. Alikuwa sahihi kabisa kukulinganisha na shetan maana ulitoa mawazo ya kishetani kabisaa.