BUSH BIN LADEN
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 8,628
- 19,809
Haijalishi Paskali amefanya nini ila we kutamani nchi ipate janga la corona umekosea sana. Kutamani nchi ipate corona that mean huwapendi hata ndugu zako maana hii kitu ikiingia haichagui.. So kama uko tayari kwa hii hali si maana yake umekata tamaa! Sasa kwanini usivae tu kitanzi ukajinyonga? Si itakuwa sawa tu na kuombea taifa lipate corona maana ikija si inaweza pia kupita na wewe! Man up bro