jd41
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,756
- 4,849
Pasco anadai hana chama.Nyote kwenye uzi huu, mnaosema haumumuelewi Pascal. Jee mnamuelewa yericko, Salaryslip, Fatma Karume, Olesosopi, Marai Sarungi na ofcourse KIGOGO,basi kama hao wote mnawaelewa, basi mjui nyinyi ni wanafiki msiokuwa na ukweli wowote, Pascal ni mtu anayeunga mkono siasa za CCM, kama hao niliowataja wanavyo shabikia upinzani CDM ama ACT. Nyie mnaomuona anachumia tumbo lake ni kwa sababu haungi mkono vyama venu na siasa za viongoziwa vyama vyenu.
Pascal huwa kuna wakati anakoswa kama wanadamu wenzake, lakini ni mwandishi makini sana na mwenye hoja zenye mashiko, sio mtukanaji au mropokaji kama kina Bi Fatma na kigogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
.