Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Pascal ni mchumia tumbo, tumpuuze

Kosa la Paskali like wapi??, comment yako ulipublish wazi kwa kila mtu, he, pacha akiipost tena anakuchongea??, tatizo Hua mnaandika vitu msivyoviamini wala kuviishi. Paschali amerudia ulichocomment
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pascal Mayalla anatumia fursa yake iliyopo kwenye katiba yetu, akivunja sheria atashughulikiwa kama wengine, tukumbuke demokrasia lazima iwepo pande zote ya kusema utakacho bila kuvunja sheria...
Hana kosa lolote...
 
Niliishasema Mayala tafsiri yake ni njaa kwahiyo njaa yake iliishaamia kichwani lakini pia mtambue uyu jamaa ni msomi lakini hana akiri ukiondoa elimu aliyonayo kichwa atabiki na maji na damu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwa siwaelewi watu mnaokujaga na kauli hizo za watu kutumia hizo mnaita ‘fake id’. Unajua malengo ya JF? Nikukumbushe, moja ya malengo yake makuu ni watu kuongea kwa uhuru na hasa kukosoa mienendo ya serikali na watendaji wake bila woga na hizo mnaita ‘fake id’ zinawasaidia members kufanya hivyo.

Labda umeanza jana kuijua na kutumia mitandao ya kijamii ila kutumia jina lolote unalotaka ni moja ya uhuru tulio nao huku mitandaoni!

Ila hongera kwa kulipwa kodi za wananchi kuja kupoteza muda wako mitandaoni.
Mkuu unaamini kabisa humu JF watu hawajulikani utambulisho wao halisi kwa kutumia ID fake?
Wewe changia tu kwa uhuru bila matusi au kuvuka mipaka, lakini nakuhakikishia wote tunajulikana na hilo sio kosa la JF ni udhaifu wa teknolojia.

JF wanajitahidi kutulinda kadiri wawezavyo lakini bado kuna wakati mambo flani yapo nje ya uwezo wao.
Sio kwamba tunajulikana na mifumo ya dola tu bali pia na makundi yanayo pambana na dola.
 
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.

So mkuu umeona umeandika sana. Wewe Ni MPUMBAVU sana. Sikujui hunijui but kwa jinsi unavyoandika na kujitapa huogopi kitu tu Ni dalili ya mtu mwovu aliyezoea maovu. MPUMBAVU wewe unaandika na kutuhumu watu kwa hisia zako zinazotiwa genye na uanachama usio na uhuru wa kutoa mawazo kingano.

MPUMBAVU kwa kuwa unajisahau kuwa NCHI Ni kwanza kabla ya uthechnical wako. NI MPUMBAVU Kwa kuwa unadhani maendeleo yanaletwa bila sadaka kubwa. NI MPUMBAVU kwa kuwa Ni kweli unadalili za kishetani kuombea majanga nchi kisa wewe huogopi kitu. Katika yako na Pascal Nani kidume cha mbegu. Umejificha nyuma ya keypad, Pascal watu wanamjua.

MPUMBAVU Kwa kuwa Hakuna mtu asiye na makosa duniani. So wewe kujitangazia kama kila unachoamini ndo sahihi Basi Ni UPUMBAVU EXTRAORDINARY.

So grow up and be responsible once in your life. In this World we live in, Life is not only about you. It’s about us. Nenda Sasa kaoshe kwa sanitizer vidole vyako vilivyo na corona ya ujinga. Then be a man and start living.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah paschal Mayalla kama anataka kujua wanajukwaa wanamchukuliaje basi ajitahidi kusoma comment za watu moja baada ya nyingine.
Ni mfanano wa ka research kadogo ka kujijuwa yeye alivyo.
 
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.

So long as hujulikani Kama pascal anavyojulikana. Wewe huna tofauti na kigoli. Weka identity yako then anza ujinga wako. Ili wanaokujua kama mcheza taarabu nao wakuanike.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni mpaka Vitu kama Corona vitokee ndo tujue thamani ya Utu/Uhai
inakuwa ngumu kufananisha mtu anayetetea Mambo mabaya leo usikie anakemea juu ya sentensi tu ya Corona kuna kitu cha UNAFIKI kinajitokeza tu hapo katikati......

Wacha tuone sababu Mbabe wa karne kwa muda huu ni COVID 19 hivyo hata waovu wanajikuta wamejawa na roho za huruma kumbe ni uwoga tu ndani ya mioyo yao.

Haingii akilini kuna maovu mengi yanahusiana na vitendo vyakikatili dhidhi ya binadamu wenzetu halafu watu wanapiga kimya unakuja kusikia baadae ETI kuna mtu amegeuka mtetezi wa haki za binadamu na huruma telee kwakweli muhadae wasioelewa tuuu........ndo hivyo kuna Covid 19 na pia kuna ugonjwa wa Influenza mpya imeanzia huko Uchina(ilishawahi kuua watu maelfu hispania mika ya nyuma)...
mabalaa mengine duniani yanatokea kulipa ubaya uliofanywa hapa duniani hata uongee usiongee uiite/ usiite yenyewe yatatokea tuu na yanapiga wote wema kwa wabaya tamko la yoyote haliwezi kuwa na nguvu juu ya ugonjwa unaopiga dunia nzima ingekuwa hivyo ugonjwa ungemaliza watu au ungeisha kwa matamko
so watu wasitafute wema wa KIKI kuwahadaa wengine wasioweza kufikiri kwa mapana
 
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.
Umesema kweli hakika. Watu wa namna hii ni hatari sana kwa ustawi wa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paschal nimeona tuhuma zako ukituhumu comment yangu kwamba mimi ni shetani ila mimi nakujua nje ndani na nikuhakikishie hauwezi kunichonganisha kama unalivyofanya kwa wakina Kabendera na upinzani kwa ujumla naomba utulie nitakuanika upuuzi wako wote.

Ulimtukana Magufuli 2014 leo unataka akupe kazi? Ulikula pesa kiasi gani za Lowassa 2010- 2015?

Unaendekeza ukabila unaacha kusema ukweli kisa kutafuta cheo kwa Magufuli?

Shetani ni wale wote wanasapoti mauaji, utekaji na kuzuia uhuru wa wengine kukosoa viongozi wao na nakuhakikishia hautapewa hata ubalozi wa nyumba kumi.

Siogopi chote na sina njaa ya pesa wala ya chochote kama ulivyo wewe naomba uache uchonganishi, ukabila na njaa.

Achana na watu, deal na mambo yako.
Nivibaya sana kuachwa humu jukwaani majibizano ya watu wawili....mnachemsha wandugu jf.
Ni vibaya mmno Pascal kumuita mwenzie shetani kisa maoni aliyoyaona yakijinga na nikweli yalikuwa hivyo...ulichemka ndugu pascal
Ni vibaya kabisa MTU kuombea korona iingie nchini na iue watu kisa tofauti za kisiasa...umechemka ndugu technically.
Nivizuri humu jukwaani ijadiliwe hoja sio mtoa hoja hakunahaja yaku take vitu personal kila iwezekanapo japo sometimes watu wajinga wakikuvamia inabidi umalizane nao kibabe. Wawili hawa wametuonesha upande wao wa ujinga sasa tuonesheni mkitumia akili mnasolve vipi vimipishano as men!
 
Nimegundua watu wengi humu JF sio "great thinkers" kama wanavyojiita.

Threads za Pasco inahitaji uchangamshe akili kidogo ili uweze kumuelewa. Anaweza akaandika ukafikiri anasifia kumbe anaponda na kinyume chake. Sasa kutokana na uandishi wake huo watu wamekuwa wanafikiri ameegemea mrengo fulani kumbe sivyo kabisa. Kiufupi unaposoma andiko lake inabidi uumize akili kidogo kumuelewa alichokmaanisha.

Mimi namuelewa sana Pasco!
 
Ukabila ndio unamtesa pascaliiiii yaani kisa tu usukuma
Huwa sipendi mtu anapohusisha kabila langu la kisukuma na tabia binafsi ya kiongozi au maoni ya mtu,Sasa mtoa mada ulitaka paschal apinge mawazo yake mwenyewe ili mjue sio mkabila?Kwani hamna wasukuma ambao wako kinyume na wasukuma wenzao!!! Acheni uvivu wa kufikiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom