Jamaa ni Mult-talented. Anaandika mambo ya ushirikina,ulozi na dini. Pia kwenye siasa na soka hayupo nyuma. Ila alichemka mbaya kutabiri mechi ya Yanga na Simba ya tar.8
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]thanks bro for a wonderful comment...
Much respect kwa pascal ni mmojawapo aliye ni inspire kujiunga JF.. Bila kumsahau Elli Mshana
paskal popote ulipo you have my big respect hasa kwenye ule uzi wako wa meditation..
Elitwege my longtime hater umenifanya kuwa bora zaidi na zaidi kwakuwa so negative kwenye post zangu... So I adore your guts of hatred... You made me practice my wisdom of torelance and be extra careful...
Kwa wengine wote asanteni sana.. Bila nyie nisingekuwa mimi.. Hasa wale haters..
Let love lead... Am humbled... You have my much much respect! [emoji120][emoji120][emoji120][emoji109][emoji109][emoji109][emoji123][emoji123]
Jr[emoji769]
kwenye lipi kugegeda?
Kama michango kila mmoja anatoa michango mizuri kwa upande wake wa kibobezi. ila Mshana anamapungufu kidogo katika mada zake huwa hapendi kukosolewa au kupingwa ni hapo akijerekebisha atazidi kuwa bora zaidi. kwani hao wakosoaji ndio wanamjenga mtu awe imara na kujiamini zaidi, hivyo si vizuri kuwachukia, pia watu wanaweza kutumia udhaifu huo kukutoa katika msitari ulioukusudia. Ni maoni yangu mimi mwingine anaweza toa yake kwa kadri anavyoona
Mbona unamjua kulko anavyo jijua yeyeSio P Mayala mimi ila namfahamu sana sasa aliyeleta hoja ya kutaka kujua nani zaidi nimejibu kutokana na kumjua zaidi P
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimfananishe mshana jr na vitu vya kijinga
Jamani busara zitumike huu uzi sio ule wa kikada ni kuburudisha wasomaji kipindi hichi cha corona ni busara tukawaheshemu wenzetu kwani kati yao hakuna aliongea chochote cha kumdhihaki mwenziwe, hebu tujifunze kwa wenzetu hawa. Ingwa Mayala hajaonekana katika uzi huu ila Mshana anakubali jitahada za Mayala
Naomba uje na mada kwanini wazee wa zamani walkua hawapendi kumulika tochi kwenye kikome (moto ule wa kuota jioni)[emoji120][emoji120][emoji120]
Jr[emoji769]
Huyu jamii siku akiondoka kwa natural event ya death itabidi Jamiiforum ifungwe kwa siku 3.[emoji120][emoji120][emoji120]
Jr[emoji769]
Wazee wa kusoma upepo
..
Washasoma mind zenu. Na kwa vile wote ninyi na hata mimi tumewaamini na kuwafuatlia sana hivyo wamefanikiwa kututeka.
Tofauti ni.. Paschal anawakilisha wazee(kama alivyoamua yeye kujinadi)
Mshana ni Young School....
Mshana yupo kila mahali...kijamii..litamaduni..kidunia..ujana..ubrotherman..uchawi....nguvu za giza...
Na Mshana ana uwezo wa kushawishi. Pia si MWANA CCM.
Paschal vile anataka ukuu wa Wilaya amekua mtu wa ajabu sana.
That being said..
Mshana Jr 99%
Paschal 01 %
9tNa Mshana ana uwezo wa kushawishi. Pia si MWANA CCM.
[emoji87][emoji87][emoji30][emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
9t
[emoji99][emoji99][emoji99][emoji99]
Wazee wa kusoma upepo
..
Washasoma mind zenu. Na kwa vile wote ninyi na hata mimi tumewaamini na kuwafuatlia sana hivyo wamefanikiwa kututeka.
Tofauti ni.. Paschal anawakilisha wazee(kama alivyoamua yeye kujinadi)
Mshana ni Young School....
Mshana yupo kila mahali...kijamii..litamaduni..kidunia..ujana..ubrotherman..uchawi....nguvu za giza...
Na Mshana ana uwezo wa kushawishi. Pia si MWANA CCM.
Paschal vile anataka ukuu wa Wilaya amekua mtu wa ajabu sana.
That being said..
Mshana Jr 99%
Paschal 01 %
9tOoh.. Nimesoma tena kwa makini kumbe umesema Si Mwana.....
Jr[emoji769]
πππππππππππWe jamaa mi namkatia rufaa Pascal,haiwezekani apate marks ndogo hivo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hiki kiingereza chako kilichonyooka,kisivyo cha muhimu.
Namjua kutokana na mfanano wetu wa kimajukumu ila usifananishe usiku na mchana japo zote nyakati ila hauwezi kulima na kupanda na kuvuna usiku. Paskali ni mchana