Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Kwahiyo kama akipatikana na hatia hukumu yake ni nini?
Huyu bwana mimi huwa namuona ni 50 / 50....Wanajuana paschal kwanza yupo karibu sana na viongozi
Eti hukumu yake asikanyage viwanja vya bunge mpaka miaka hii mitano iishe na asiwe anamwangalia spika!!Kwahiyo kama akipatikana na hatia hukumu yake ni nini?
Hivi hujishtukii?Ndo nani huyo?
Sasa hapa kwenye hili jukwaa ni siasa tupu tena watu wana ghadhabu na mambo huchemka hapa povu hujaa hapa mpaka watu hurushiana mipasho.Sawa nimeyaona mambo n motooo
Kwa ninavyomjua Paschal, ni mtu muungwana ambaye naamini hata hiyo Kamati itakuwa imemuelewa.Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema
Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.
Habari zaidi, soma => Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Mmmmj!assntee kwa kunijuzaSasa hapa kwenye hili jukwaa ni siasa tupu tena watu wana ghadhabu na mambo huchemka hapa povu hujaa hapa mpaka watu hurushiana mipasho.
Naona Suti yako ilikuwa imefunika Mzee mayala, dressing code waige kwako mzeeMwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema
Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.
Habari zaidi, soma => Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
Huu ujinga upo Africa tu.
Wakuu mwenye taarifa za Bomba Dierr huko Mwanza...
Naskia IMETAGA...
why not, ila kwa IQ yake nauwakika kawapiga za chembe kidevu na kwenye hili lazima wakae.I wish @ pasco ataleta mrejesho mzuri.....
Pascal ana hoja.
Hi tabia ya kuzuia kuambiwa naona imekithiri sana.
Ni kweli kuwa muhimili wa bunge unaingiliwa sana. Mfano halali ni pale mkuu wa kaya alipomwambia spika awashughulikie wapinzani ndani ya bunge, wakitoka nje ana deal nao. Ile ni kama amri na imeingilia madaraka ya spika.
Tanzania inapotea kidemokrasia