Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge

Kunyamazia persecutions is the best medicine!, hata Yesu pale msalabani, hakupiga kelele!.
P
Usilete mambo ya imani hapa tupo kwenye mambo ya Siasa kwenye hilo uliferi mkuu hata hapa utakataa wakina Stive Biko wangekaa kimya Nchi yao mpaka kesho ingekua na ubaguzi wa rangi kelele zao unaona kilichotokea wewe ulitishwa ukaamua kufata maamuzi yao ulikua sahihi ingawaje maombi yetu yalijibu yule aliekutisha nae alipata aibu kubwa mimj binafsi nilikua upande wako naomba tuishie hapa uzuri upo ok na yalishapita...
 
Back
Top Bottom