Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,875
Hata Mimi nimeona hilo Mkuu.ngoja aje atupe mrejeshoKwa kumuangalia anaonekana kama ni mwenyekiti wa kikao na hana wasiwasi pia ana utayari wa kutetea hoja.
Hata Mimi nimeona hilo Mkuu.ngoja aje atupe mrejeshoKwa kumuangalia anaonekana kama ni mwenyekiti wa kikao na hana wasiwasi pia ana utayari wa kutetea hoja.
Naanzaje kuondoka nipo tiririka etNaona ameshatimka haha.
UmekimbiyaaaaNaona ameshatimka haha.
Siyo Afrika, bali Tanzania tu!!Huu ujinga upo Africa tu.
Ni uandishi mistake ....so umecheekaaaHahahah! Mbunu
Wameacha kazi wamekuja kufanya mabo yasiokuwa na tija ili wajigawie posho tuHuu ujinga upo Africa tu.
Mayasa jina lako zuri.Umekimbiyaaaa
Saana yaan nahic nimeongeza ckuNi uandishi mistake ....so umecheekaaa
Mayasa una uhusiano na Mayalla?!!Saana yaan nahic nimeongeza cku
Kma lako hiviMayasa jina lako zuri.
Mayasa we ni mdengeleko?!!Kma lako hivi
Mwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema
Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.
Habari zaidi, soma => Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge
MdigoMayasa we ni mdengeleko?!!
MdigoMayasa we ni mdengeleko?!!