This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,897
- 4,964
kwani tz kuna bunge.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mayalla ndio Nani???Mayasa una uhusiano na Mayalla?!!
Ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, na ni memba mwenzetu humu jamii foram,ametoa maoni yake kuhusu bunge letu,sasa wamemuita huko wanasema ni mtukutu.Hapana mayalla ndio Nani???
Wa Tanga?!!au Horohoro!Mdigo
Hapna simjui mm nimgen hum nimeingia leo lbda kakaangu ,,,nayy n mtu wa tanga????aaahNi mwandishi wa habari wa kunitegemea, na ni memba mwenzetu humu jamii foram,ametoa maoni yake kuhusu bunge letu,sasa wamemuita huko wanasema ni mtukutu.
Mayasa anza kutembelea majukwaa mbalimbali humu,kuna jukwaa la hoja mchanganyiko,chit chat,jukwaa la mapenzi,kwa wewe ambae hupendi mambo ya siasa.Hapna simjui mm nimgen hum nimeingia leo lbda kakaangu ,,,nayy n mtu wa tanga????aaah
Huu ni zaidi ya ujinga mkuuHuu ujinga upo Africa tu.
Sasa bofya pale palipoandikwa FORUMS halafu chagua Jukwaa la mapenzi.ukaburudikeHaha! Siwez
ahiaaMwandishi wa kujitegemea, Ndg. Pascal Mayala (katikati) akihojiwa na Kamati ya kudumu ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kosa la kuandika habari yenye maudhui ya kudharau Bunge kwenye safu yake ya gazeti la Rai Mwema
Amefika hapo ikiwa ni baada ya Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai kuagiza Ndg. Pascal Mayala pamoja Wahariri wa Gazeti la Raia Mwema wafikishwe mbele ya kamati hiyo.
Habari zaidi, soma => Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge