Hahahah! MbunuHizi ni mbunu za kuwatisha waandishi wa habari
Nikionaga photo uliyoweka najua zimo.... Kumbe kimvuli tuPaskali mwenyewe katoa macho utasema mjusi aliebanwa na mlango.
Kiswazi chenyewe cha kuunga hehe.Hahahah! Mbunu
Pole ya nini? Mbona Bashite hamkumpa pole. Unajua maana ya unafiki? Nani ana mamlaka ya kudharau bunge?Pole sana Pascali
Pascali ni mwana JF mwenzangu na tunajadili hoja pamoja mara chachePole ya nini? Mbona Bashite hamkumpa pole. Unajua maana ya unafiki? Nani ana mamlaka ya kudharau bunge?
Kwa kumuangalia anaonekana kama ni mwenyekiti wa kikao na hana wasiwasi pia ana utayari wa kutetea hoja.Paskali mwenyewe katoa macho utasema mjusi aliebanwa na mlango.
Hahahah!yaan hapo nimeelewaKiswazi chenyewe cha kuunga hehe.
Naona ameshatimka haha.Hahahah!yaan hapo nimeelewa
Hata Mimi nimeona hilo Mkuu.ngoja aje atupe mrejeshoKwa kumuangalia anaonekana kama ni mwenyekiti wa kikao na hana wasiwasi pia ana utayari wa kutetea hoja.