Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Ha ha ha! Ila kama Shonza naye ni mjumbe kwenye hiyo kamati basi Pasco kwisha habari yake, huyu ngosha wetu akiona rangi ya chungwa point zina potea kichwani.Ukiangalia Lugha ya Picha ni kama vile Jamaa anawapiga shule fulani hivi hao wa Mbele yake,
Au Boss Fulani hivi yuko Kikaoni anaendesha kikao
