Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,009
- 74,643
Ha ha ha! Ila kama Shonza naye ni mjumbe kwenye hiyo kamati basi Pasco kwisha habari yake, huyu ngosha wetu akiona rangi ya chungwa point zina potea kichwani.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Ukiangalia Lugha ya Picha ni kama vile Jamaa anawapiga shule fulani hivi hao wa Mbele yake,
Au Boss Fulani hivi yuko Kikaoni anaendesha kikao