Pascal Cassian kaachia wimbo Youtube inaitwa mtakamata wangapi.

Pascal Cassian kaachia wimbo Youtube inaitwa mtakamata wangapi.

Chadema mjichanganye na Vurugu kipigo ni kile kile
 

Attachments

  • Screenshot_20250428-202251.png
    Screenshot_20250428-202251.png
    715.2 KB · Views: 14
Nyumba za ibada nyimbo zinazotakiwa kuimbwa ni zile za kumsifu Mungu tu sio za kujisifia,kusifia serikali au kulaani serikali

Nyumba ya ibada ni nyumba ya Mungu sio ya serikali

Huo wimbo upumbavu mtupu hauna sifa ya kuimbwa kanisani muimbaji kapungukiwa maandiko ndio shida ya waimbaji wengi binafsi

Wana upungufu mkubwa wa maandiko
Angemsifia mbunge wako hakika ungekaa kimya...huo ndio udhaifu wetu.. of course ndio unafiki wenyewe kwa mujibu wa kamusi.
 
Angemsifia mbunge wako hakika ungekaa kimya...huo ndio udhaifu wetu.. of course ndio unafiki wenyewe kwa mujibu wa kamusi.
Wimbo wa kumsifu mtu kanisani au yeye kujisifia hapana siwezi kukubali nitaondoka hiyo ibada

Alichoimba ni imani potofu
 
Kwani huyo mshua ni wa upinzani kama kina roma na ney wa mitego? Roma mwenyewe kapoa na huenda akaimbia ccm kwenye kampeni.
 
Back
Top Bottom