Pascal Cassian kaachia wimbo Youtube inaitwa mtakamata wangapi.

Pascal Cassian kaachia wimbo Youtube inaitwa mtakamata wangapi.

Hii ni ngoma kali sana kwa Mwaka huu 2025.

Imebamba mno Beat kali, melody kali, suxaphone kali
Yah mkuu amapiano flan hv haichoshi kusikiliza, Kuna kile kipande jamaa anasema wanatuona sisi nyani nimekipenda Sana Jamaa ameenda na beat vzr šŸ”„
 
Yah mkuu amapiano flan hv haichoshi kusikiliza, Kuna kile kipande jamaa anasema wanatuona sisi nyani nimekipenda Sana Jamaa ameenda na beat vzr šŸ”„
Noma sana. Kwa sisi wanaopenda Vyombo vya msiki bila kuacha ujumbe murua ametupata sanašŸ˜€šŸ˜€
 
Hii ngoma inaweza kutumika kwenye nyumba za ibada šŸ”„
Nyumba za ibada nyimbo zinazotakiwa kuimbwa ni zile za kumsifu Mungu tu sio za kujisifia,kusifia serikali au kulaani serikali

Nyumba ya ibada ni nyumba ya Mungu sio ya serikali

Huo wimbo upumbavu mtupu hauna sifa ya kuimbwa kanisani muimbaji kapungukiwa maandiko ndio shida ya waimbaji wengi binafsi

Wana upungufu mkubwa wa maandiko
 
Nyumba za ibada nyimbo zinazotakiwa kuimbwa ni zile za kumsifu Mungu tu sio za kujisifia,kusifia serikali au kulaani serikali

Ile ni nyumba ya Mungu sio ya serikali

Huo wimbo upumbavu mtupu
Hakuna Nabii wala mtumishi wa Mungu ktk Biblia ma Qurani aliyeacha utesaji wa serikali uendelee bila kukemea. Kama yupo badi hiyo dini na vitabu vyake ni Fake.
 
Katema cheche kule yani ni kama kaamuwa kujilipuwa.
kaeleza uongo vizuri tu mbona gentleman, hajajilipua kokote hata kidogo.

anadai watu wamenyimwa uhuru wa kuongea na kutoa maoni wakati ukweli ni kwamba wananchi na vibaka wa kisiasa nchini, sio tua wana uhuru wa kuongea na kutoa maoni bali wana haki mpaka ya kuropoka bila hata breki kwenye mikutano ya hadhara nchi nzima na kuimbao uongo kama huo wimbo wake.

ama kweli casian ni mgonjwa, mshirikina na mzinzi :pedroP:
 
Hakuna Nabii wala mtumishi wa Mungu ktk Biblia ma Qurani aliyeacha utesaji wa serikali uendelee bila kukemea. Kama yupo badi hiyo dini na vitabu vyake ni Fake.
Sio kweli wachache walijaribu kuvuka mipaka ya kazi yao ya kuhubiri watu watubu wakaenda kukemea wanasiasa wengi walipata shida kubwa mno

Yohana mbatizaji kwenye Biblia alitumwa na Mungu ahubiri ubatizo uletao toba kweli alipohubiri watu wakaulubali kwa wingi tu baadaye akaamua kuvuka mipaka akaingia siasa kukemea watawala akamkemea Herode .Herode akamkata kichwa akamuua

Ni vizuri mtu ajue hasa Mungu ile sauti ya kwanza ya wito alimwitia nini? Asimame hapo kwenye ule wito wa kwanza
Hawa.wengine kama huyu anachoimba ni populist Gospel ambayo unaangalia watu wengi wanachotaka ndicho unahubiri na kuimba!!!! Badala ya kusikiliza Mungu alipokuita alitaka uhubiri nini?

Populist gospel ndizo hizo wanahubiri baaddhi ya maaskofu kama akina Bagonza, Mwamakula nk

Huyu ni msanii wa nyimbo za Injili.Na ni neno sahihi sana kwa hao waitwa wasanii wa nyimbo za Injili ni wasaniii hasa na jina hilo linaakisi hadi tabia zao .Ni wasanii sio watumishi wa Mungu ndio maana wakapewa hilo jina..

Ndio maana anachoimba huwezi alika kanisani ukasema aimbe huo wimbo hauko kwenye viwango vya nyimbo za ibada
 
Nyumba za ibada nyimbo zinazotakiwa kuimbwa ni zile za kumsifu Mungu tu sio za kujisifia,kusifia serikali au kulaani serikali

Ile ni nyumba ya Mungu sio ya serikali

Huo wimbo upumbavu mtupu hauna sifa ya kuimbwa kanisani muimbaji kapungukiwa maandiko ndio shida ya waimbaji wengi binafsi

Wana upungufu mkubwa wa maandiko
Inasikitisha sana mkuu šŸ˜Ž
 
Back
Top Bottom