Nyingine huwa ni taratibu za kanisa tu....na Mungu amezibariki
Shalom!
Kwanza lazima ujue nn maana ya pasaka? Pasaka ni sadaka ndugu yangu. Mimi huwa ninapenda kujifunza so huwa napenda kusikiliza mahubiri ya mwl. Mwakasege na Mgisa mtebe ninakushauri utafute mafundisho yao hasa ya mwl mwakasege katika mafundisho ya matoleo alifundisha biafra miaka kadhaa iliyopita itakusaidia. Nakwa mengine endelea kumfuatili kila j.5 saa tatu usiku redio wapo, na kila alhamisi muda na wakati huohuo msikilize Mgisa Mtebe. Naamini utajifunza mengi.
na ni kwa nini afe na kufufuka siku tofauti? Maana inahama hama tarehe zinakua tofauti tofauti za kusheherekea tofauti na xmas ambayo imesimama 25 dec?
Good morning to all,
naomba nisaidiwa katika hii topic nime post hapo juu. nini maana ya pasaka or passover/ nini maana ya esthern monday and Good friday? hizi siku zinanichanganya. je yesu aliposulubiwa msalabani kuna sehemu kwenye biblia tunaambiwa tushereheke Good friday/ easthern Monday? kama ndio naomba muongozo kwenye biblia. pili niliposoma biblia nipata kujua kumbe mungu ndio alikuwa wa kwanza kuambia wana wa israel washerehekee pasaka na iwe kumbu kumbu katika maisha yao baada ya yeye MUNGU kuua wana wakwaza wa misri. tatu yesu alisherehekea pasaka na wanafunzi wake baada ya kuwanawisha miguu. kwa nini sisi wakristo tusheherekee sikukuu ya kufa kwake kama pasaka? amani ya bwana iwe pamoja nanyi mnapo changia hii topic mbarikiwe sana tena sana.
passover/pasaka ni kweli ni sikukuu ya wanaizrael ambayo wanakumbuka mungu alivyowatoa misri na hasa pale alipoaamua kuuwa kila uzao wa kwanza wa wamisri na si israel na hatimaye pharaoh kuwaruhusu waondoke.yesu pia aliisherekea sherehe hii ya wayahudi, na ile alhamisi kuu alipokuwa akinywa divai na mkate usiotiwa chachu ilikuwa ni siku ya kwanza ya pasaka ambayo ilikuwa inasherekewa kwa siku saba(kama sijakosea) .
Sasa kwa sababu yesu alikufa kipindi hicho cha pasaka (siku kuu ya wanaisrealz)na kufa kwake kunahusianishwa na kuokolewa kwa wanadamu, basi kusherekea siku hiyo ni sawa na kutoa shukrani kwa yesu kwa moyo wake wa kujitolea kufa ili damu yake iwekomboe wanadamu.waiesrael watasherekea kama agano lao na mungu wao ,pia kukumbka mateso ya yesu na kusherekea kufufuka kwake.
mimi naelewa hivyo na sioni kuna ubaya wowote kusherekea ama kukumbuka siku hiyo
sina reference kwa siku hiyo ambayo Yesu alikufa na kufufuka kuidhimishwa ,ila kwa reasoning ya kawaida unadhani itakuwa dhambi kuikumbuka siku ama kuidhimisha hiyo?naomba reference mkuu kwenye biblia. Je ni yesu au mtume gani aliamuru hivi?
sina reference kwa siku hiyo ambayo Yesu alikufa na kufufuka kuidhimishwa ,ila kwa reasoning ya kawaida unadhani itakuwa dhambi kuikumbuka siku ama kuidhimisha hiyo?
KAMA REFERENCE HAKUNA (basi kusherekea siku hiyo ni sawa na kutoa shukrani kwa yesu kwa moyo wake wa kujitolea kufa ili damu yake iwekomboe wanadamu) KWA NINI IKOSEKANE. UKRISTO UMEJENGWA NA UFUFUKO. HALAFU HAKUNA HILI AGIZO....
SM;
Imeandikwa "Kwa maana Kristo, Mwana Kondoo wetu wa Pasaka amekwisha tolewakuwa dhabihu. Kwa hiyo, tusiiadhimishe sikukuu hii, kwa chachu ya zamani, chachu ya nia mbaya na uovu, bali kwa mkate usiotiwa chachu, mkate wa weupe wa moyo na kweli." 1kor.5:7-8
MAFUNDISHO YA KIBINADAMU HAYAKUTOKA MBINGUNI. KAMA YEYE AMBAYE NI NJIA YA KWELI NA UZIMA HAKUSEMA. YALIYOBAKI NI MAFUNDISHO YA KIBINADAMU ILI WAWEZE KUGEUZA MAANA HALISI YA PASAKA. AGANO JIPYA HALIKUJA KUBALISHA MAANA YA PASAKA, KWANI HATA YESU ALIIIADHIMISHA KWA MAANA ILE ILE YA KWENYE TORAH. KWENDA KINYUME MIMI SIKUBALIANI. TUKUBALI TUZILAZIMISHE.
MAFUNDISHO YA KIBINADAMU HAYAKUTOKA MBINGUNI. KAMA YEYE AMBAYE NI NJIA YA KWELI NA UZIMA HAKUSEMA. YALIYOBAKI NI MAFUNDISHO YA KIBINADAMU ILI WAWEZE KUGEUZA MAANA HALISI YA PASAKA. AGANO JIPYA HALIKUJA KUBALISHA MAANA YA PASAKA, KWANI HATA YESU ALIIIADHIMISHA KWA MAANA ILE ILE YA KWENYE TORAH. KWENDA KINYUME MIMI SIKUBALIANI. TUKUBALI TUZILAZIMISHE.