Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,664
- Thread starter
-
- #101
Kwa hao wanaojitambua..hapo kuna Madaktari, maprofesa na watu kutoka kada na hali mbalimbali wanajumuika pamoja kuandamana na kutetea haki kwa Maslahi ya wote. Hapa kwetu jambo hilo ni ndoto. Tunategemea Bodaboda waandamane tupate mabadiliko!
Tafuta hii usomeAcheni hizo hapa hakuna cha mkono wa Trump wala wa Putin. Wafaransa wenyewe wameamua kudai haki zao. Chanzo ni kwamba Macron alifuta kodi inatwa ISF. L'import sur fortune. Hii kodi walikuwa wanalipa matajiri na ilikuwa inaiingizia nchi almost 5b euros.Sasa alipoifuta ili kufidishia kaongeza kodi ya gasoline na kodi kibao kwa classe moyenne. Yaani watu wa maisha ya kati. Maandamano yalianza ili kupinga ongezeko la kodi kwa mafuta na kupanda hali ya kuwa maisha magumu. Gilet jaune "Yellow vest ndo vazi maalumu la waandamanaji. Hata hivyo Maandamano yamejibu maana hiyo kodi imefutwa. Na wiki ijayo Rais ataongea na Taifa. Sasa hotuba ya Rais ndo itatoa majibu kama Gilet jaune wataendelea kuandamana ama la.
Mkuu mbn ipo wazi,...Rais Macron anaitaka Ulaya isiwe tegemezi kwa marekan kiulinzi ,kisiasa na kimkakati.Marekani wanaingiaje apa mkuu
Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao.
Hivi ingekuwa hayo yanafanyika Uganda tungekuwa na marehemu wangapi hadi sasa? Acheni wazungu waitwe wazungu.
Kwa mawazo yako unadhani hakuna watu waliokufa huko Ufaransa katika vurugu hizi??? Unavifahamu vizuri vyombo vya habari vya magharib?? Unadhani vurugu kama hizi zingetokea nchi nyingine isiyo ya magharibi wangeyata jina gani kama siyo mapinduzi??
Wenzetu wanafundishwa fundamental rights toka ngazi ya chini, kila raia anatambua haki na wajibu
Ndio maana hata kwenye mahusiano wenzetu ni wakweli kutokana na misingi wanayokulia
Sasa nchi zetu za kiafrika utakuta hata polisi hajui majukumu yake
Afrika bado tunasafari ndefu sana
Leta basi idadi ya waliokufa acha propaganda za kihehe
Usiwe unaongea ili tu kuleta upinzani nataka ulete idadi ya waliokufa huko Paris ili tujue ukatili wa wazungu pia.Duh...interesting...very much interesting...
Angalia wenzetu wanavyopambana kimkakati!!! Hongereni wazunguKwa huu moto Emmanuel macron sijui kama atabaki
Nchi ya Ufaransa imesimama watu kutoka mashambani wanakusanyika mjini Paris kishinikiza macron aondoke madarakani
Kampuni za usafirishaji hasa mabasi zimeshusha nauli kwa 50% ili kuwawezesha wananchi wanaotaka kwenda Paris kuungana na waandamanaji wengine
Usafiri wa tren pia kuna discount kwa wanaosafiri kwenda paris kwa ajili ya maandamano makubwa yaliyopangiwa kufanyika aidha vyombo mbali mbali vya habari vinaripoti macron anajiandaa kung'oka kwa hiari.
Chanzo kikubwa cha maandamano ni kupanda kwa gharama za maisha hasa nishati ya petrol
Pia makampuni kadhaa ya ndege yanashusha nauli kwa wanaokwenda paris kuandamana
Tukumbuke macron alikuwa tumaini kubwa sana kwa umma wa ufaransa kabla ya kuingia ikulu kutokana na sera zake ila sasa mambo yabadilika
My concern...Putin anataka kuisambaratisha ulaya? Kuna vitu vingi nyuma ya pazia tuendelee kusubiri na kuona
Hii inanikumbusha french rovulations iliyopelekea ufaransa kuendelea sanaView attachment 960355
Uwudesi uo..... Ulimtamwa kumtwe?Leta basi idadi ya waliokufa acha propaganda za kihehe
Huo ndio uhalisia mkuu vijana tunaweza sana kucritisize ila tunapopewa nafasi wachache huonesha ufanisiPigo sana kwa vijana ulimwengu mzima sijui tutaongea nini
Mzungu ni mzungu tu. Hawa watu ni toleo la kwanza kabisa hatuwezi kushindana nao
Kinachomponza ni kiburi chake na majibu yake ya kibabe kwa raia pia sera zake za kuwapunguzia mzigo wa kodi matajiri na kuwabebesha mzigo masikini