peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 16,597
- 27,374
Kuna mama mwingine alisemaga haijui ilikuwaje akawa Rais.
Pareso amekuwa mkweli mbele ya Jaji.
Hiyo kesi imeisha sasa
Pareso amekuwa mkweli mbele ya Jaji.
Hiyo kesi imeisha sasa
Mungu na afanye tena muujiza tumechokasana tu, tunamshukuru Mungu kwa kumshughulikia
Ni msomi mmoja alitumia gap iliyopo ya katiba kwamba fulani akifa then fulani anakuwa Rais.sana tu, tunamshukuru Mungu kwa kumshughulikia
Unaamisha lisu alipata Kura nyingi kumzidi Magufuli?H
haya ni matokeo ya nchi kuongozwa na kiongozi juha aliyejivisha kilemba cha UZALENDO
Mzalendo aliiba kura mpaka akaiba na wabunge wa chama asichokipenda
Acha mungu amshughulikie pumbavu sana yule marehemu
ReadUnaamisha lisu alipata Kura nyingi kumzidi Magufuli?
kuliko majambaz ya kura ya lumumba yanayopeperusha bendera matokeo ya sensa na kushindwa kuokoa watu.Hahaha.......
Chadema Wana vituko haviishi
umepimaje kuteseka kwangu? mtu kutoa maoni juu ya jambo fulani ni kuteseka? umekulia wapi wewe?Kama huna mwenyekiti mbona ubunge wa Cecilia Pareso Kamanda shupavu wa Chadema unakutesa Sana?!
Thubutu!Unaamisha lisu alipata Kura nyingi kumzidi Magufuli?
Maji yaan huku kumekauka hata maji ya kuchambia hakuna, sasa si tutatembea tunanuka mavi yaliyochanganyika na majashoOna maji
Tumia akili huenda bbayako kavuliwanguo hapa....nisome nje ya BoxKwani walijiteua?
Mnyika: Mfumo ule ule uliowaingiza covid-19 Bungeni ndio utumike kuwaondoaTumia akili huenda bbayako kavuliwanguo hapa....nisome nje ya Box
Wewe unawapenda chadema Kwa mambo gani mazuriii waliyonayoYule jamaa kosa lake aliwachukia Sana CHADEMA. Tatizo lilianzia Hapo ila mengine alijitahidi kwa uwezo wake. Baya moja hufuta mazuri yote.
Wewe ndo Popomalism unashangilia dingiyoshetanic anaaibishwa.....RethinkMnyika: Mfumo ule ule uliowaingiza covid-19 Bungeni ndio utumike kuwaondoa
Mnyika ana Akili kuliko nyie mbwiga wote wa Ufipa st.
Jiandaeni kwa kampeni za 2025Wewe ndo Popomalism unashangilia dingiyoshetanic anaaibishwa.....Rethink
Tupo Egypt UN Mazingira kuhakikisha unapata milo mitatu badala ya kushindia mihogo na buku 3 hapo LumumbaJiandaeni kwa kampeni za 2025
Mchangieni Mnyika Wese la Hiyo Bajaj yakeTupo Egypt UN Mazingira kuhakikisha unapata milo mitatu badala ya kushindia mihogo na buku 3 hapo Lumumba
1. Hakuomba kuteuliwa na Chama chakeHatimae Mmoja wa Wabunge Wasio na Chama Mdada Pareso amekiri kuwa Hamjui Aliyemteua kuwa Mbunge
Tafsiri yake ni kwamba
1. Hakuomba kuteuliwa na Chama chake
2. Hakuchukua Fomu na Kuijaza
3. Hakwenda Mahakamani kusaini mbele ya HAKIMU ila Akajikuta Yupo mbele ya SPIKA NDUGAI Kuapishwa.
Hiyo ndiyo KATIBA ya TANGANYIKA
Unakuwa Mbunge humjui Aliyekuteua.
View attachment 2411169
Ndio serikali ya akina mwiguru, january wanaoutaka urais hiyo. Kumbuka hayo ulikuwa huwezi kuyasikia kipindi cha mwamba MagufuliMaji yaan huku kumekauka hata maji ya kuchambia hakuna, sasa si tutatembea tunanuka mavi yaliyochanganyika na majasho
Kulikua hakuna huu ujinga huu, maji yamekua ukame huku kumekaukaaaa hata maji ya kuchambia hakuna alafu mimi huyu waziri mwenye dhamana Juma Awesu simuelewi kabisa yaan au yeye kazi yake kutandaza mabomba tu? Yaan anashindwa kufikiria nje ya box tukavuna maji hata Bahari ya Hindi yakafanyiwa processing kuondoa zile Chumvi tukayatumia kweli?Ndio serikali ya akina mwiguru, january wanaoutaka urais hiyo. Kumbuka hayo ulikuwa huwezi kuyasikia kipindi cha mwamba Magufuli