Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,393
- 4,085
Hatimae Mmoja wa Wabunge Wasio na Chama Mdada Pareso amekiri kuwa Hamjui Aliyemteua kuwa Mbunge
Tafsiri yake ni kwamba
1. Hakuomba kuteuliwa na Chama chake
2. Hakuchukua Fomu na Kuijaza
3. Hakwenda Mahakamani kusaini mbele ya HAKIMU ila Akajikuta Yupo mbele ya SPIKA NDUGAI Kuapishwa.
Hiyo ndiyo KATIBA ya TANGANYIKA
Unakuwa Mbunge humjui Aliyekuteua.
Tafsiri yake ni kwamba
1. Hakuomba kuteuliwa na Chama chake
2. Hakuchukua Fomu na Kuijaza
3. Hakwenda Mahakamani kusaini mbele ya HAKIMU ila Akajikuta Yupo mbele ya SPIKA NDUGAI Kuapishwa.
Hiyo ndiyo KATIBA ya TANGANYIKA
Unakuwa Mbunge humjui Aliyekuteua.