Pareso: Simjui aliyependekeza niwe Mbunge

Pareso: Simjui aliyependekeza niwe Mbunge

Hatimae Mmoja wa Wabunge Wasio na Chama Mdada Pareso amekiri kuwa Hamjui Aliyemteua kuwa Mbunge
Tafsiri yake ni kwamba

1. Hakuomba kuteuliwa na Chama chake
2. Hakuchukua Fomu na Kuijaza
3. Hakwenda Mahakamani kusaini mbele ya HAKIMU ila Akajikuta Yupo mbele ya SPIKA NDUGAI Kuapishwa.

Hiyo ndiyo KATIBA ya TANGANYIKA

Unakuwa Mbunge humjui Aliyekuteua.

View attachment 2411169
Pia hamjui anayemtumikia.
Huyu ni mbunge hewa
 
Wale ni Wabunge halali hata viongozi wa Ufipa st wanaelewa

Ubunge ulianza ndio wakavuliwa uanachama

Chadema haijawahi kuwalalamikia mahakamani
una elimu gani wewe? ulisoma wapi? mwaka gani? ulisomea mambo gani? ulifaulu? una vyeti?
UNA AKILI TIMAMU?
 
H
Hatimae Mmoja wa Wabunge Wasio na Chama Mdada Pareso amekiri kuwa Hamjui Aliyemteua kuwa Mbunge
Tafsiri yake ni kwamba

1. Hakuomba kuteuliwa na Chama chake
2. Hakuchukua Fomu na Kuijaza
3. Hakwenda Mahakamani kusaini mbele ya HAKIMU ila Akajikuta Yupo mbele ya SPIKA NDUGAI Kuapishwa.

Hiyo ndiyo KATIBA ya TANGANYIKA

Unakuwa Mbunge humjui Aliyekuteua.

View attachment 2411169
haya ni matokeo ya nchi kuongozwa na kiongozi juha aliyejivisha kilemba cha UZALENDO
Mzalendo aliiba kura mpaka akaiba na wabunge wa chama asichokipenda
Acha mungu amshughulikie pumbavu sana yule marehemu
 
usipayuke hovyo kama taahira. jibu kwanza una elimu gani? uliipata wapi? ulisoma nini? mwaka gani?
Una akili TIMAMU?
sizungumzi na mwenyekiti wa jumuiya hapa
Kidato cha 6 nilizungusha

Mwenyekiti wako wewe na Cecilia Pareso ndio aliwaita Wabunge wawili Nairobi kuwabembeleza wajiuzulu

Mtu asiye halali anajiuzulu vipi?

Kuongoza Chadema ni Kazi rahisi Sana!
 
Kidato cha 6 nilizungusha

Mwenyekiti wako wewe na Cecilia Pareso ndio aliwaita Wabunge wawili Nairobi kuwabembeleza wajiuzulu

Mtu asiye halali anajiuzulu vipi?

Kuongoza Chadema ni Kazi rahisi Sana!
huna akili timamu wewe unaulizwa kitu kingine unajibu kitu kingine
nakuuliza maswali yanayo kuhusu wewe unanitajia mwenyekiti ? aliyekuambia mm nina mwenyekiti ni nani?
 
huna akili timamu wewe unaulizwa kitu kingine unajibu kitu kingine
nakuuliza maswali yanayo kuhusu wewe unanitajia mwenyekiti ? aliyekuambia mm nina mwenyekiti ni nani?
Kama huna mwenyekiti mbona ubunge wa Cecilia Pareso Kamanda shupavu wa Chadema unakutesa Sana?!
 
Back
Top Bottom