Underwood
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 1,909
- 3,104
Uchaga ni pana sana ikiwa imetawaliwa na Ukristo hivyo siafiki kwamba ushawishi wa huyo sheikh Kirama ulimsaidia Thomas Mareale kushinda uchaguzi.
Ikumbukwe Mareale alikuwa mtu msomi jambo ambalo lilimjengea 'exposure' kwa watawala wa Kiingereza tofauti na Shangali. Ni wazi kwa wapiga kura wa kipindi hicho kuona faida ya kuwa na kiongozi mwenye elimu na ushawishi kwa Waingereza kama Mareale.
Ikumbukwe Mareale kushinda uchagani hajashida kwa kura za wamachame tu, Rombo pia ni uchagani.
Kilicho mpa Mareale ushindi dhidi ya Shangali ni ushawishi wake kwa Wachaga, sio kwa sababu alisaidiwa na Sheikh wa Nkuu.
Ikumbukwe Mareale alikuwa mtu msomi jambo ambalo lilimjengea 'exposure' kwa watawala wa Kiingereza tofauti na Shangali. Ni wazi kwa wapiga kura wa kipindi hicho kuona faida ya kuwa na kiongozi mwenye elimu na ushawishi kwa Waingereza kama Mareale.
Ikumbukwe Mareale kushinda uchagani hajashida kwa kura za wamachame tu, Rombo pia ni uchagani.
Kilicho mpa Mareale ushindi dhidi ya Shangali ni ushawishi wake kwa Wachaga, sio kwa sababu alisaidiwa na Sheikh wa Nkuu.