Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,916
- 30,259
- Thread starter
- #21
Schmidt,Home-cooked garbage.
Mimi nimesoma elimu ya mnakasha, yaani mijadala kwa Sheikh Haruna.
Huyu alikuwa mwalimu wa madrasa ambayo wewe umeiandika kwa dharau na kejeli.
Kanifunza mengi na mojawapo ni adabu.
Adabu akikusudia kuwa watu hawatukanani katika kujadili masomo ya kielm.
Sheikh Haruna alikuwa anasema ukiona mtu anakimbilia matusi jua ameshindwa na hapana haja ya kuendelea na yeye katika mjadala kwani matusi hayajibiwi.