Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 21,242
- 36,281
Limefanyaje
Mamii
Hehehehehehehee tuachane na cheko kwanza.....
Mustachi huo.....
Limefanyaje
Mamii
Mmenikumbusha, kuna siku nilipata likes ya bro Maxence Melo Nakumbuka ilikuwa kwenye uzi uliohusu birthday yake. Unaambiwa usiku usingizi ulikuwa haupatikani kama nimepewa milioni 50 za kushtukiza au kama nimeshinda kwenye kubetiKuna likes ukizipata unaona kama umepokea dollar hehehehehehhe Kasie Matata mie, sijui Matata yenyewe yataisha lini.
Maxence Melo nimepata wazo, kama ikiwezekana kuwe na uwezo (option) wa members ku quote like wanayoipata.....
Thanks for your likes man, I know there are members humu hawajawahi kupata sio tuu quotes zako hata likes....
You are the founder of this forum, SO am proud to have your likes ....
Kungekuwa na uwezo wa kuziframe (your likes) would’ve done that so I could easily see that whenever I feel like hehehehehheee
Najua kuna watu watasema nna vimelea vya ushomile hehehehehe waaapiiii, ni vurugu tuu za Kasie.
Am happy to have your likes...
Wakora Tata.
Kasie Matata Mavurugu.
Hebu tuletee picha za chura tusuuze macho!
we kibibi banaNimejikuta natizama maeneo ya zipu...... msiseme akili yangu chafu looh, macho hayana adabu wala pazia.....
mna utani na boss wenu
Pale tunapokuwa tumeshiba amani, tunatafuta BAN kwa nguvumna utani na boss wenu
Haha mtaipataPale tunapokuwa tumeshiba amani, tunatafuta BAN kwa nguvu
Hivi ananufaika vp kwa kuwa na platform kama hii?Huyu ndiye anamiliki hadi Zero IQ humu jukwaani?
Sinufaiki kwa chochote.Hivi ananufaika vp kwa kuwa na platform kama hii?