Papaa Msofe akabiliwa na kesi ya mauaji

Tujiulize marehemu MPAKANJIA alikua na biashara gani mpaka akasifika hivyo?

mpakanjia alikuwa na garage temeke . na alikuwa na tenda ya kutengeneza na kupiga rangi gari za wizara ya afya hiyo tenda alipigiwa cross na waziri mmoja mwanamke . hiyo ndio biashara iliyomuingizia pesa hadi akaonekana tajiri . na aliponyangangwa tenda ndio akaonekana hana pesa (amefirisika kama unavyosema ). na mwisho wa siku alikufa na ukimwi.
 
HII NDIO INAYOONEKANA WAZI.HELA INAWAFANYA HATA WALINZI WETU WA USALAMA WASIWE NA MAKEK JUU YA PAPA MSOFE..PESA FEDHEHA!!

Utapeli uliwahi kuletwa hapa:

[h=2]Friday, August 10, 2012[/h][h=3]PAPA MSOFE AFIKISHWA KORTINI KWA MAUAJI[/h]

Mfanyabiashara maarufu, jijini Dar es Salaam, Marijani Msofe 'Papa Msofe', akiongozwa na Askari Polisi na Magereza kuingia kwenye chumba cha Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa shitaka la mauaji ya Onesphory Kitoli, mahakamani hapo leo
Mfanyabiashara maarufu, jijini Dar es Salaam, Marijani Msofe 'Papa Msofe', akiongozwa na Askari Polisi na Magereza kuingia kwenye chumba cha Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa shitaka la mauaji ya Onesphory Kitoli, mahakamani hapo
Papa Msofe akiandikishwa jina lake na Polisi

VIJANA WA USALAMA WANAUZA SURA BADALA YA KUMLINDA MTUHUMIWA:

Papaa+8.JPG
 
Watu kama hawa solution ni kuwanyonga hazarani...maana ndo chanzo cha rushwa mpaka kwenye wizara nyeti kama za ulinzi na usalama
 
Kuna Mazingira ya kukutanisha hasa katika utendaji wa jeshi la Polisi kutekwa na kumilikwa na genge la majambazi.Katika kupata taarifa za hapa na pale kuhusiana na sakata la Papa Msofe na Mwenzake Alex Masawe imebainika kuwa Mauji hayo yalifanyika mwaka 2010 katika maeneo ya Magomeni.

Wananchi wa karibu wa tukio ilo lilipotokea wanaeleza kuwa marehemu alikuwa mfanyibiashara ya madini na amekuwa kaisafir mara kwa mara na siku aliyouwa alikuwa akitoka safari na kupigwa risasi karibu na nyumbani kwake.Baada ya mauji hayo kufanyika Papa Msofe akishirikiana na jeshi la Polisi alimtoa kwa nguvu mjane wa marehemu na yeye Papa Msofe kuhamia kwenye nyumba hiyo na kuishi.

Yule mjane alipata washauri na kufungua kesi mahakamani kupinga kufukuzwa kwenye nyumba ambayo Papa Msofe na Alex Masawe walidai marehemu aliwauzia.Jambo la kujiluliza katika utawala wa haki na sheria kwa nini jeshi la polisi alikuwakamata Papa Msofe na ALex Masawe tangu 2010? kwa kosa la Mauji?.

Alex Masawe baada ya kuwa ameshiriki katika mauji hayo amekuwa akiishi nje ya nchi na inasemekana ni UK. Kwa mazingira haya ni wazi kuwa jeshi la polisi sasa ni mali ya genge la majambazi ambao wanalitumia wapendavyo.

Taarifa ya Kukakamatwa awali iliyotolewa na Jeshi la polisi ilionekana kama vile mauji yamefanyika mwezi huu wakati ni jambo lililotokea zamani.shame on u polisiccm.
 
HII NDIO INAYOONEKANA WAZI.HELA INAWAFANYA HATA WALINZI WETU WA USALAMA WASIWE NA MAKEK JUU YA PAPA MSOFE..PESA FEDHEHA!!

Utapeli uliwahi kuletwa hapa

Friday, August 10, 2012

PAPA MSOFE AFIKISHWA KORTINI KWA MAUAJI




Mfanyabiashara maarufu, jijini Dar es Salaam, Marijani Msofe 'Papa Msofe', akiongozwa na Askari Polisi na Magereza kuingia kwenye chumba cha Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa shitaka la mauaji ya Onesphory Kitoli, mahakamani hapo leo
Mfanyabiashara maarufu, jijini Dar es Salaam, Marijani Msofe 'Papa Msofe', akiongozwa na Askari Polisi na Magereza kuingia kwenye chumba cha Mahakama ya Kisutu kwa ajili ya kusomewa shitaka la mauaji ya Onesphory Kitoli, mahakamani hapo
Papa Msofe akiandikishwa jina lake na Polisi

VIJANA WA USALAMA WANAUZA SURA BADALA YA KUMLINDA MTUHUMIWA:

Papaa+8.JPG

Huyu jamaa anakuwa kama Don Corleone...yaani ana kaserikali kake huko pembeni. Inaelekea payroll yake ina majina sio mchezo
 
The world of untouchables?. Who says the state has unlimited resources? Days of the evils are numbered. Do we have Mafia and underworld here? Kazi kwenu
 
Does the world of untouchables exist? Do we have Mafia and Coleones here. ... state has unlimited resources?You cant evade all the time. I luv inchi yangu.
 
Jina la Bwana Yesu libarikiwe kwa kukamatwa kw huyu Papa Msofe. Ni jambazi, ni tapeli, ni Zinzi, ni chafu kitabia, ni halifai. But yote hayo alifanya kwa kuwa alikuwa analindwa na usalama wa raia na nchi!!!!! Imagine polisi mdogo akimkamata na kosa Papa anamtukana na kumwambia "sina haja ya kuongea na wewe mtoto wa mbwa, namtaka mbwa aliyekuzaa". But nina wasiwasi kama kweli hatahonga na mwishowe usikie "nolle prosequi". Mbona vibaka na mwizi wa kuku jeshi la polisi linampata? Kwa hakika kuna wingu zito sana kwa utendaji wa taasisi za usalama wa raia na mali zao!!! Tubadilike, tunakuomba IGP Mwema at least fanya kweli kwa Papa ya Musofe ili tuweze kurejesha imani tena kwenu.
 
Ukweli husemwa:

Ningependa kabisa sheria ifuate mkondo wake kwa haki kwa sababu hakuna binadamu yeyote mwenye mamlaka ya kuondoa roho za binadamu wengine hapa duniani zaidi ya Mola.

Naomba kupingana na wewe katika huu mfano wa wachina ulioutoa.
Serikali ya uchina imepata shinikizo kubwa kutoka kwenye utawala wa Uingeleza kwa sababu huyo mfanyabiashara mwingeleza aliyeuwawa alikuwa ni mtu wa karibu sana na utawala wa Uingeleza kwa hiyo swala hilo likawa ni gumzo kuu katika mahusiano kati ya China na UK kidipromasia.

Pressure ilikuwa ni kubwa sana kwa chama na serikali ya uchina kwa sababu ushahidi ulikuwa wazi na hawakuwa na jinsi nyingine bali kumkamata na kumfungulia mashitaka.

Ukiangalia Nchi nyingi kubwa zilizokuwa na siasa za kijamaa kama Urusi, China, venezuera, mexico , nk bado zina tatizo ambalo ni rushwa inayozaa watu furani kujidai kuwa juu ya sheria kama anavyodaiwa Papa Msofe & co kwa kutumia pesa walizowaibia wananchi kuwanunua watawala.

nawakubari sana wachina,
hawana huu muda wa kubeba wachache na kuumiza wengi,ebu jaribuni kufuatilia kesi ya aliyekuwa kiongozi mkuu wa chama cha kijamaa bwana Bo Xilai
mke wake alijihusiha na mauwaji ya mfanyabiashara wa UK na hii imepelekea bwana Bo Xilai kufukuzwa chamani bila kuonewa aibu na mke wake ameshitakiwa kwa kesi ya mauwaji je Tanzania tunaweza hili?

139299-gu-kailai.jpg


THE wife of the former Chinese leader at the centre of a political scandal did not deny murder at her one-day trial.

Gu Kailai, wife of disgraced politician Bo Xilai, was accused during the trial of poisoning 41-year-old British businessman Neil Heywood after going to drink with him in the hotel room where he was found dead last November, court official Tang Yigan told journalists.She did not deny murder during her one-day trial, which ended Thursday with no verdict, the court said.Gu's government-appointed lawyer did not challenge the charge, but said she had "made significant contributions by reporting offences by other people" and her cooperation should be taken into account, Mr Tang said.He gave no further details, but state news agency Xinhua reported shortly after the hearing in the eastern city of Hefei that four police officials would go on trial for "covering up" Gu's alleged crimes.All four worked in the southwestern city of Chongqing, where Heywood died, and where Gu's husband Mr Bo was Communist Party secretary until he was sacked in March after the allegations first emerged.
 
nimaamini hili fashisti lina uhusiano na ndama. Ninamfahamu vizuri sana ndama. Ndama shaabani amepata utajiri wa ajabu. Ndama alimaliza shule ya msingi ubungo n.h.c mwaka 1989 na akasoma tambaza sec 1990 - 1993. Ndama alikuwa karibu sana na lile jangili puzza (william jackson)janafunzi la tambaza lililojiua nyumbani kwao nmabibo mwezi june mwaka 1991.

Ninaamini kuna connection na police kwani ndama ana undugu na igp said mwema. Kumbuka ndama alikuwa na kesi ya mauaji






























ya albino.....na alikamatwa .....lakini huwezi amini ile kesi haijulikani imeishaje......



puza alikuwa anaua makondakta wa daladala enzi za tambaza
 
wameliza sana watanzania na wageni, ukienda kule Tegeta ndio utajua kazi za hawa watu kwenye umiliki wa ardhi. Wameharibu ofisi za umma ikiwemo wizara ya Ardhi, TRA,polisi nk.

[h=3]1.Kuna wanaotajwa katika miziki kama watu maarufu, matajiri sana kumbe hakuna kitu ni wao kutaka wasikike na wala si tajiri kihivyo wao huwakatia marapa na waimbaji wenye njaa wawataje hawa ni kama vile akina Fikiri Madinda, Ustaadh Juma Namusoma, Betty Malongo, n.k).[/h] [h=3]2.Wengine hutajwa kwa hakika kutokana na misaada yao kunyanyua tasnia ya muziki kutoka kidogo wanachokipata kwa halali mfano Asha Baraka, Mh. Amos Makala n.k [/h] [h=3]3. Lakini wapo kweli ambao wanatumia fedha wanazopata kwa njia zisizo halali (chafu) kuwekeza katika bendi, kuwahonga Wasanii, Media na hata baadhi ya watumishi wa vyombo vya serikali Polisi n.k ili waonekane kuwa watu wema lakini ni hatari sana maana wana mitandao nchi nzima ya nje ya nchi za kiuhalifu hawa ndio akina Paa Msofe, Chief Kiumbe, Muzamili Katunzi n.k .[/h] [h=3]Kamwe Serikali wala Mahakama haiwezi kushindwa na hawa watu wadogo sana! Ni suala la uzembe wa hali ya juu wa vyombo vya usalama. Hawa watu wanajulikana na walitakiwa kuwa katika list ya WANTED kwenye wavuti ya Polisi siku nyingi. Simple question to IGP ni; Je ni kweli hawa watu hawajulikani kwa utapeli na wizi wao?[/h] [h=3]Jamani, haki za binadamu lazima pia ziendane na haki za Mungu; wakati fulani ni ngumu kwa binadamu kuthibitisha pasipo shaka uovu maana unafanyika kifichoni tena wakati ambao wengi wetu tumelala lakini Polisi na Usalama wa Taifa (kama taasisi) kamwe hawalali, je hawajui hawa watu ambao kwa kawaida huwa wanafuatwa na convoy ya vijana wengi kuwa ni hatari na wana athari hasi kwa vijana wengine nchini kwetu? Mbona Mungu ashatoa ushahidi wake siku nyingi juu ya watu hawa na haki ya Mungu haieshimiwi; kweli afadhali ya China!! [/h]
 
Back
Top Bottom