Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Mimi ni mkatoliki kindakindaki ila huu umoja wa kanisa na viongozi wa aina hii unalitesa sana kanisa takatifu la Yesu.
Kuna ushahidi mkubwa wa papa Piusi wa XI kuwa na mahusiano ya karibu na Benito Mussolini fashisti wa italia mpaka Mussolini akampa papa eneo la Vatican city ilipo leo. Kupitia lateran treat!
Hata hivyo kwa upande wa Tanzania kuna namna fulani kardinali pengo alihusishwa sana na siasa za Magufuli kiongozi anayependwa sana na wanyongwe wa Tanzania. Kanisa lijitafakari!
Kuna ushahidi mkubwa wa papa Piusi wa XI kuwa na mahusiano ya karibu na Benito Mussolini fashisti wa italia mpaka Mussolini akampa papa eneo la Vatican city ilipo leo. Kupitia lateran treat!
Hata hivyo kwa upande wa Tanzania kuna namna fulani kardinali pengo alihusishwa sana na siasa za Magufuli kiongozi anayependwa sana na wanyongwe wa Tanzania. Kanisa lijitafakari!