FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,890
- 109,224
Mahakama ya kadhi kwisha
Hii nchi waislamu mnashughulikiwa kisawa sawa
Akiwa kiongozi muislam anatishwa na kugongwa nyaraka za kutosha
Unajitahidi kubadili mada, ujumbe kutoka Vatican umeupata. Sasa kazi kwako kunyoa au kusuka.
Hatuwashangai, maandiko ya Mungu mnabadilisha itakuwa mada ya ushoga kanisani kwenu?
Nani amewaruhusu Waislamu kuanzisha Mahakama ya Kadhi mkoani Singida? - JamiiForums