Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,704
- 3,036
Sijui kama wameachwa salama, maana kuna Father Kit Cunningham alilawitiana na watoto wadogo wa shule nzima huko Soni (kwa kina Makamba huku).
Msome mwenyewe maana hukawii kunizushia kuwa ni yangu: He was my priest and my friend. Then I found out he was a paedophile
Wewe ulisoma shule ipi? Umesalimika?
Huyo Father ni mhalifu kwahiyo atashughulikiwa kama wahalifu wengine.
Mtazania akamatwa na dawa za kulevya Indonesia - JamiiForums
Na huyo hapo ndio nani? Maana ndio wajenga maghorofa na wafadhili hao