Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,692
- 3,014
Rais wa Philippines fights his own battleDuh!!
Hili kanisa mbona linajiaibisha ivi?
Kumbe yule rais wa Philippines alisema kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais wa Philippines fights his own battleDuh!!
Hili kanisa mbona linajiaibisha ivi?
Kumbe yule rais wa Philippines alisema kweli
85% ya Makasisi unaidownplay kama vile mtu mmoja tu kafanya kosa!
Duh! Hakika mna macho lakini hayaoni, mna masikio lakini hayasikii. Mioyo yenu ina maradhi na yanazidi kila kukicha.
Imbecile, is what is in this thread my report?In the world that we live, you are narrow minded. Unafikiria karibu mno. Kama tisingekuwa na taarifa ya nini kinaendelea duniani, you could fool us.
Wewe unataka kila mtu awe dini yako. Hata muanzilishi hakuweza. Na wewe hutaweza.
Sana sana ukienda vibaya watasema msimamo mkali
Nanyie mshaanza kufi&&&na mnaanza kusingizia Marekani, kama wenzenu wanavyouna.Hi IPO wazi Hakuna mahali mafundisho ya kanisa katoliki Yana entertain Ushoga Bali no individual characters na mpango mkakati was Marekani for years kuundermine kanisa Hilo ndio maana cases nyingi zipo huko na washirika wake.
Jiwe gizani lishakupata.Ina maana middle east hakuna wasenge? Au nawaona Tanga na Zenj tu?
Yaani elewa Hakuna mahali kanisa limewahi hata kuukaribisha Ushoga.
Waumini was parokia Fulani wanted kuwa wote Malaya haimanishi kanisa linafundisha umalaya. Na ndio maana wakihundua wanakufukuza Bila compromise.
But what we see in America na the like Ni mpango wa muda mrefu wa kulichafua kanisa.
Faiza kumbuka pia priests, cardinal, bishops and deacons, are human beings. Hivyo wana upungufu wa kibinadamu lakink matendo yao binafsi sio matendo ya kanisa na Wala haijawahi kuwa msimamo wa kanisa. Na ndio maana msimamo wa kanisa katoliki ndio msimamo wa makanisa mengine your.
Wewe ndio Petro na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa Wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Na huyu ndio wewe halisi.Exaggeration? Una maana hiyo list page niliyokutumia wote uongo?
Pole sana kama unaona ni exaggeration, na hii nyingine, sema na Umoja wa Mataifa wana exaggerate: UN Report on Vatican Child Sexual Abuse | Religion & Ethics NewsWeekly
Mimi nasema kusema 85% kiukweli si sahihi, kiukweli huko ni 100%.
Ya wakatoliki waachie wenyewe wakatoliki, wewe hayakuhusu.Hivi unalitetea kanisa katoliki, unatetea Makasisi, unatetea nafsi yako?
Unafahamu maana ya 85% ndani ya makao makuu ya ukatoliki kuwa mashoga? Na hauoni tatizo lolote hapo?
Unafahamu maana ya mpaka Rais wa nchi (Duterte wa Ufilipino) kulalamika kuwa alishafanyiwa mambo ya kishoga na mapadri wa kanisa katoliki? Na huoni tatizo lolote hapo?
Unafahamu maana ya Umoja wa Mataifa kulilalamikia kanisa katoliki kuwa linaharibu maelfu ya watoto duniani kwa liwati?
Dah! Kama yote hayo unafahamu na hauoni tatizo lolote nikuweke kundi lipi?
Ukiona mtu anawashwa na pilipili iliyoko shambani ujue kwisha habari yakeYa wakatoliki waachie wenyewe wakatoliki, wewe hayakuhusu.
Hata hap kwetu mambo yanajieleza yenyewe. Tuache hizi hoja ambazo tunaleta bila kuhangaisha brain
Imbecile, is what is in this thread my report?
Report ya UN aliiandika FaizaFoxy?
Father Kit Cunningham wa Soni Tanzania aliyelawitiana na watoto wadogo wa shule nzima habari yake aliiandika FaizaFoxy.
Habari za kesi zaidi ya 4000 duniani za Makasisi kulawiti watoto wadogo aliziandika FaizaFoxy?
Nyie kama mnachukia ushoga hameni tu huko, haujaanza leo ushoga na hautakwisha.
Hivi mnachokitetea nini haswa? Mashoga, ushoga, au nyinyi wenyewe?
Soma hii Rais wa Ufilipino kafuguka alivyolawitiana kanisani na mapadri: Philippines president reveals he was abused by priest as a child
Na Siku nyingine jifunze pia kutofautisha kati ya mtu na KanisaHivi unalitetea kanisa katoliki, unatetea Makasisi, unatetea nafsi yako?
Unafahamu maana ya 85% ndani ya makao makuu ya ukatoliki kuwa mashoga? Na hauoni tatizo lolote hapo?
Unafahamu maana ya mpaka Rais wa nchi (Duterte wa Ufilipino) kulalamika kuwa alishafanyiwa mambo ya kishoga na mapadri wa kanisa katoliki? Na huoni tatizo lolote hapo?
Unafahamu maana ya Umoja wa Mataifa kulilalamikia kanisa katoliki kuwa linaharibu maelfu ya watoto duniani kwa liwati?
Dah! Kama yote hayo unafahamu na hauoni tatizo lolote nikuweke kundi lipi?
Umeona wapi nimezungumzia percentages katika hiyo post yangu? Soma tena, ueleweTumia akili yako kufikiri, acha ushabiki na mihemuko. Unaijua 85% wewe? Eti kwa kuwa wamekuambia ni ulawiti haimaanishi utumie hisia kufikiri badala ya akili.
Kama 85% ya Makasisi wangekuwa walawiti basi karibia kila Parokia ungekuwa unasikia kesi za ulawiti. Kwa hapo unapoishi umeshasikia kesi ngapi za ulawiti?
Mungu amekupa akili na utashi uweze kuchanganua mema na mabaya, zitumie vizuri.
Hivi unalitetea kanisa katoliki, unatetea Makasisi, unatetea nafsi yako?
Unafahamu maana ya 85% ndani ya makao makuu ya ukatoliki kuwa mashoga? Na hauoni tatizo lolote hapo?
Unafahamu maana ya mpaka Rais wa nchi (Duterte wa Ufilipino) kulalamika kuwa alishafanyiwa mambo ya kishoga na mapadri wa kanisa katoliki? Na huoni tatizo lolote hapo?
Unafahamu maana ya Umoja wa Mataifa kulilalamikia kanisa katoliki kuwa linaharibu maelfu ya watoto duniani kwa liwati?
Dah! Kama yote hayo unafahamu na hauoni tatizo lolote nikuweke kundi lipi?
Mtume hakujua kusoma wala kuandika, Alitafsiriwa aya na Aboubakary pale MeccaExaggeration? Una maana hiyo list page niliyokutumia wote uongo?
Pole sana kama unaona ni exaggeration, na hii nyingine, sema na Umoja wa Mataifa wana exaggerate: UN Report on Vatican Child Sexual Abuse | Religion & Ethics NewsWeekly
Mimi nasema kusema 85% kiukweli si sahihi, kiukweli huko ni 100%.
Mahakama ya kadhi kwishaReport alete mwingine mie ni comment tu naambiwa nakashifu!
Onesha hiyo kashfa niliyoleta mimi. Ukishindwa ujuwe wewe ni muongo.
Kwa neno "mdini" unamaanisha nini?
Mlawitiane na Makasisi wenu kanisani kwenu halafu unishukie mimi?
Punguani kweli kweli wewe.
HOLY INSTITUTION kashafa zakumwaga jee isingekua HOLY INSTITUTION yaaani ....cpati pichaaaaNtateteaje uhalifu? Wahalifu wabebe misalaba yao. Ila ntalitetea kanisa sababu ni holy institution