fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 354
- 52
Basi wakati mmoja panya katika pitapita zake mwituni alimkanyaga nyoka kwa bahati mbaya.Ikabidi panya aombe msamaha na kumwambia nyoka pole.nyoka akamjibu pole ya nini? Hebu kione.kitoto kidogo madevu kibao mwili mzima..panya akacheka sana na kumwambia nyoka na wewe je? Jitu kubwa na bado linatambaa.ha ha.