Panya Na Nyoka..panua mbavu.

fundiaminy

JF-Expert Member
Jun 4, 2009
355
51
Basi wakati mmoja panya katika pitapita zake mwituni alimkanyaga nyoka kwa bahati mbaya.Ikabidi panya aombe msamaha na kumwambia nyoka pole.nyoka akamjibu pole ya nini? Hebu kione.kitoto kidogo madevu kibao mwili mzima..panya akacheka sana na kumwambia nyoka na wewe je? Jitu kubwa na bado linatambaa.ha ha.
 
Basi wakati mmoja panya katika pitapita zake mwituni alimkanyaga nyoka kwa bahati mbaya.Ikabidi panya aombe msamaha na kumwambia nyoka pole.nyoka akamjibu pole ya nini? Hebu kione.kitoto kidogo madevu kibao mwili mzima..panya akacheka sana na kumwambia nyoka na wewe je? Jitu kubwa na bado linatambaa.ha ha.

Dah, mkuu u made my day!! Hii imetulia sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom