Panapofuka moshi panaficha moto...

Hakuna Moshi. Hakuna moto.

Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.

Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.

View attachment 995933
Walioko uraiani miaka yote hawajawahi kuona utofauti wa moto na moshi ndio maana hata wewe upo mtandaoni,kwasababu kuna tofauti kubwa kati ya watu wa uraiani na mtandaoni.Asilimia 20,ya watanzania ndo walikubali mfumo wa vyama vingi.Ingekuwa enzi hizo hao 20 asilimia ndo wangeitwa wapiga kelele.
 
Unataka kuniambia kuna kikundi cha watu walio nyuma ya mwenyekiti wako wa chama?

Maana maangizo yote yanatoka mamlaka ya juu.... Huyu Assad ataondolewa na atateuliwa kafiri...
Hayo unasema wewe. Mimi nimesema nguvu kubwa.

Unaelewa Kiswahili?
 
Ajabu ni kwamba moshi wenyewe awamu ya 4 haukuonekana au kama ulikuwepo post kama hizi hazikubandikwa!
 
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Maendeleo hayana Chama
Mikutano ya hadhara mpaka 2020
Bunge halishirikiani na ............
Kama hatafika tutamfunga Pingu
Je tutafika?
 
Hakuna Moshi. Hakuna moto.

Kilichopo ni kelele za mitandaoni tu.

Uraiani watu wapo kawaida tu wakiendelea na mishe mishe zao.

View attachment 995933
Unazani hata kama mambo hayaendi sawa. Maisha ndo yatasimama?.. "A man brags over his own penis however Small" Watu wanapambana hivyo hivyo kibishi kubeba ma billion kutoka katika mzunguko ukaya dump sehem moja tena isiyolipa.kwa wakati lazima mambo yayumbe ## POVU#

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Buku saba tu inakutoa ufahamu kiasi hiki!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Safari hii umeamua kuwa mkweli
 
Braza,
Unatoa picha ya Fremu zimefungwa kwa kukosa wapangaji kisha unasema hakuna moshi, hakuna moto, mitaan watu wanaendelea na shughuli zao?

Umehitimisha visivyo!

Fremu hazijafungwa kwa kukosa wapangaji.

Hizo fremu huwa hazipo wazi masaa 24.

Au kila biashara bongo iko wazi masaa 24?
 
Kwa namna ulivyoificha habari yenyewe, UMETOA NAFASI KUBWA SANA YA WATU KUSINGIZIANA, KUTOKA NJE YA ULICHODHAMILIA, KUWEKA HISIA ZA MTU BINAFSI BADALA YA ULICHOKIDHAMILIA... weka wazi zaidi ili wachangiaji wajikite kwenye ulilolidhsmilia
 
Umehitimisha visivyo!

Fremu hazijafungwa kwa kukosa wapangaji.

Hizo fremu huwa hazipo wazi masaa 24.

Au kila biashara bongo iko wazi masaa 24?
Kwani, kwa kuzitazama hizo fremu, na muda ambao picha imepigwa, unadhani
1. Je, inaonyesha bidhaa zipo kwenye kuuzwa masaa 24?
2. Unadhani kutokufungwa kukosa wapangaji maana yake nini?
3. Bidhaa aina zote zinapatikana hapo?
 
Matusi hayo.

Nioneshe andiko langu ambao lilikufanya uone si mkweli.

Punguani wahed.

Lini (before these past few months) ulishahoji au kuashiria mambo kutokuwa sawa mahali? Hilo la upunguani nakuachia mwenyewe.
 
Kwa namna ulivyoificha habari yenyewe, UMETOA NAFASI KUBWA SANA YA WATU KUSINGIZIANA, KUTOKA NJE YA ULICHODHAMILIA, KUWEKA HISIA ZA MTU BINAFSI BADALA YA ULICHOKIDHAMILIA... weka wazi zaidi ili wachangiaji wajikite kwenye ulilolidhsmilia
Fikiri useme moto unaouona wewe uko wapi na chanzo chake nini.

Ni mada ya wazi inayompa kila mmoja fursa ya kutoa maoni yake bila shinikizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…