Pamoja na ufisadi wake wote, Chenge is one of the best brains kwenye Bunge full of ignorants

Simkubali Chenge kwa matendo yake na jeuri, ana taaluma nzuri na yuko smart "intelligent" lakini kama tukitukia taaluma zetu vibaya tutaliangamiza taifa, watoto na wajukuu zetu tutawaambia nini? Kumbukeni ishu zote chafu za pesa huyu braza lazima awepo nyuma, why, why, why
 
Kama anaweza kupendekeza ni adhabu gani apewe baaada ya kuchota mabilioni ya hela za ufisadi ni wazi tumelogwa...!
 

Attachments

  • 1417330064322.jpg
    1417330064322.jpg
    36.1 KB · Views: 858
Wakuligo ma dia kama mwizi anapewa nafasi ya kuweka formality ya hukumu yake unadhani utampa adhabu gani kama wewe hadhara.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

..................................Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco


You are just playing with language semantics. Stupidity unaweza ukasema ni lack of understanding/intelligence na ignorance pia unaweza ukasema ni lack of understanding, unaware, etc.
 
You are just playing with language semantics. Stupidity unaweza ukasema ni lack of understanding/intelligence na ignorance pia unaweza ukasema ni lack of understanding, unaware, etc.
ignorance ni kutojua ukielimishwa na kuelimishika, ignorance inakutoka. stupid ni mjinga!, kumuelimisha ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa!.
Pasco
 
Wakati Prof. Muhongo akijifanya yeye ni mwenye akili kuliko watanzania wote, Pasco anajifanya kuwa kipanga miongoni mwa wana jf wote. Hilo ndo tatizo hapo. Miongoni mwa wana jf ninaowapuuza ni yeye! Nadhani bora kusikiliza matusi ya Lusinde.


Mkuu, hujamuelewa Pasco ....................... anawakebehi wabunge kwa kuzidiwa na Chenge!!

Hivi kweli wabunge wote wale (over 350) ambao wanajua na wanauhakika Chenge kavuta tena siyo kidogo halafu ndiyo anatoa ushauri ambao kila mbunge anaafikiana nao. Hapo lazima tukubali kuwa Chenge ni Brilliant ................. lakini ni Brilliant kwenye kundi la vilaza. Kwa mtazamo wangu pale bungeni wala hawakuhitaji akili nyingi bali walihitaji busara tu .............. Busara ni muhimu sana na wala haihitaji kwenda shule kuwa na busara. Kwa bahati mbaya sana viongozi wetu wengi wameikosa hiyo.................!!
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,

Natanguliza kwa kuomba msamaha kutumia maneno makali, kwa hapa nchi yetu ilipofika, labda maneno makali kama haya, yatasaidia, to change for the better!.

We are ignorants, na wabunge wetu ni ignorants!.

Mnyonge Mnyongeni, haki yake mpeni, Mhe, Andrew Change, ni one of the best legal draftsmen we have kwenye Bunge letu, ila kufuati wengi wa wabunge wetu ni ignorants, wazo alilopendekeza jana, kuhusu drafting ya azimio la bunge, kumepelekea kikao muhimu sana cha bunge kuvunjika kwa ujinga tuu wa wabunge wetu!.

Naomba kukiri wazi, wazo la kuandika thread hii, limekuwa inspired na post ya Nguruvi3

Mkuu Nguruvi3,

Naomba kuanza kwa kudeclare my interest, Pasco wa jf ni ignorant, na anajijua ni ignorant, ndio maana ana comment ignorance kwenye public ya jf ili kila mtu ajue Pasco ni ignorant!.

Tanzania tuna ignorants, wengi, wengine wanajijua ni ignorants ila wanaamua kunyamaza bila kucoment ili hiyo ignorance yao, isijulikane, wengine ni ignorants ila hawajajijua kuwa ni ignorants, na kwa vile wako kimya, one can not tell na wenyewe hawajijui!, ila wengine ni iginorants, hawajijui kuwa ni ignorants, hivyo wanapofanya vitendo vya ignorance kama jana pale bungeni, wakitoka nje wanapongezana kwa ushujaa wa ignorance ile!, hawa wanahitaji kusaidiwa kujulishwa they are ignorants!, ili angalau sasa watumie brain zao to think kabla ya kusema na kutenda na sio kutumia feelings.

Watanzania tuna problem ya Ignorance!, ambayo hata wabunge wetu wetu ni ignorants tuu!, sasa huyu Chenge pamoja na ma ufisadi yake yote, ni mmoja wa watu sensible mule bungeni!, pendekezo lake la phrasing azimio lile was the best!. Chenge sio tuu ni mwanasheria wa Havard, bali kwenye sheria kuna maeneo mengi sana ya specialization inayohitaji kipaji fulani on top of being just a lawyer, moja ya enero gumu kabisa ni legal drafting!, ndio maana tulipota uhuru, sheria zetu zote tulicopy and paster "para materiale" (neno kwa neno) kutoka India, simpy because hatuna legal drafting people mule bungeni!, tukubali tukatae, Andrew Chenge is the best!, ametoa pendekezo ambalo ndio the best, lakini kwa vile bunge letu limejaa ma ignorants, ma ignorants hawa wakakataa pendekezo la Change, simply because Chenge ni fisadi, na pendekezo lake limeungwa mkono na Mwenyekiti wa PAC, Mhe. Zitto Kabwe!.

Kiukweli kilichofanywa jana na wale ma ignorants kule bungeni, ni display ya ignorance at the top level!, na kwa vile sisi Watanzania pia ni ignorants, tunashangilia ile ignorance!.

Naomba Chenge ahukumiwe kwa ugfisadi wake, which has nothing to do with uwezo wake wa the best legal drafting!.
Kila siku tunasisitiza humu, mnyonge, mnyongeni!, haki yake mpeni!.

Kuhusu Watanzania na Ignorance, nimeizungumzia hapa.

Escrow: Jee Watanzania ni Ignorants? au Tumelogwa?!.

Nasisitiza nimesema we are ignorants, sijasema we are stupid!.

Pasco

Anaonekana yuko vzuri kwa sababu wabunge wwngi ni vilaza
 
Back
Top Bottom